Ubabe huu wa TEC

Siyo wakusanya kodi bali ni wezi wa kodi na watoza 10% kwa wanaowalinda kimafia.

Hivi unafikiri hatuelewi mambo yanavyokwenda?
 
Siyo wakusanya kodi bali ni wezi wa kodi na watoza 10% kwa wanaowalinda kimafia.

Hivi unafikiri hatuelewi mambo yanavyokwenda?
Ndiyo maana upeo wako wa kufikiri ni Mdogo halafu kesho au kesho kutwa Eti na Wewe ni Mbunge wa Kuteuliwa Upuuzi Mtupu . Punguzo la kodi kwa mambo ya dini wamepewa Imani zote sasa wewe unaagiza nini ndiyo Ujinga wako. Wenzako wanatafuta Ambulance kwa ajili ya hospital wewe unaagiza Maji ya Zamzam,Wenzako Wanaagiza Vitabu vya Elimu pamoja na Mambo ya kisayansi Wewe unaagiza Tende, Wenzako Wanaagiza Dawa za Mahospitali wewe Unaagiza Mafuta ya Mzaituni , Wenzako Wanaomba Viza za Wataalamu Ili Waje Maprofesa na Madaktari Wewe Unaomba Visa za Waganga wa kitabu.

Wenzako wakitaka Mtaalamu wa fani fulani Wanamuandaa na kumsomesha kwa viwango Bora wewe unataka Upendeleo tu kisa Mbona kule mmechagua wengi.

Hao Tec wakileta gari linatumika Nchini kwa Shule zetu au Hospital zetu ila Huyo Mwarabu atachukua dola zetu na kupeleka Dubai . Tec wakijenga shule Wanajenga Tz kwa Matumizi ya Watz ila Dp World Wanasomba Utajiri Wanapeleka Dubai. Kaa kimya maana wewe ni Mbumbumbu uliyebebehwa jukumu la Propaganda na huliwezi. Maana kila unachonena tayari PHD(Askofu) walishakujibu.

Huwezi na hautoweza kuwajua hao Wakatoliki mpaka uwe pamoja nao .Halafu hawana muda wa kukujibu Wewe Mbumbumbu.
 
TEC sio baraza la mambo ya kidini. Hao ni watu wenye mambo ya siri nje ya imani. Wanajua upigaji wao kwenye kupitisha vitu bandarini unafikia mwisho ndo maana wanakazana kupinga. Ogopa kanisa linaloweza kufadhili Civil Wars.
Kwaiyo mnawaogopa sio?
 
Nilichokiandika hujakielewa au unajifanya hujakielewa.
 
Nimecheka [emoji1787][emoji1787]
 
Na kawekwa dawati la peke yake ili ajue kabisa nyaraka zote mbili ni zake, mmoja akampe boss wake
 
Manake anatakiwa asome waraka huo mara mbili.
 
TEC sio baraza la mambo ya kidini. Hao ni watu wenye mambo ya siri nje ya imani. Wanajua upigaji wao kwenye kupitisha vitu bandarini unafikia mwisho ndo maana wanakazana kupinga. Ogopa kanisa linaloweza kufadhili Civil Wars.
badala ulie na samia anauza bandari kwa wapwa wake waarabu,unashindana na TEC.
TEC ni dude li kubwa.
 
Wangekuwa "wanafikiri vyema" Tanzania isingekuwa masikini wakati watawala ni wao, toka tupate uhuru kila sehemu wamejiweka wao.

Wizi tu ndiyo wanaujuwa "vyema".
Wakitaka kufikiri vyema kwa ajili ya kupungiza umaskini waislam mnakuja juu na inferiority complexities nyingi.Chukulia suala la bandari.Wamefikiri vyema,wakashauri vyema mkajitokeza mapangoni kupinga.
Mnasema wasichanganye dini na siasa.
 
H
TEC sio baraza la mambo ya kidini. Hao ni watu wenye mambo ya siri nje ya imani. Wanajua upigaji wao kwenye kupitisha vitu bandarini unafikia mwisho ndo maana wanakazana kupinga. Ogopa kanisa linaloweza kufadhili Civil Wars.
Fikra na propaganda mfu hizi.
 
Tunaendelea na uwekezaji wenye ufanisi wa DpWorld. Hayo mengine ni mbwembwe tu! Na kiki wanazotaka hao viongozi hususani kwa waumini wao masharbiki kama nyie.

Anayestahili kunyenyekewa ni Mungu na sio binadamu.
 
TEC sio baraza la mambo ya kidini. Hao ni watu wenye mambo ya siri nje ya imani. Wanajua upigaji wao kwenye kupitisha vitu bandarini unafikia mwisho ndo maana wanakazana kupinga. Ogopa kanisa linaloweza kufadhili Civil Wars.
Wewe mama haujui kitu, kichwa kikubwa umebeba funza tu yaani haujui madhehebu yote ya dini yana hiyo exceptional ya kuingiza vitu bidhaa zinazohusu maswala ya dini bure,
 
Yah ni kweli kanisa linafadhili waislamu ili waunde makundi yao ya kijihadi😂😂😂
TEC sio baraza la mambo ya kidini. Hao ni watu wenye mambo ya siri nje ya imani. Wanajua upigaji wao kwenye kupitisha vitu bandarini unafikia mwisho ndo maana wanakazana kupinga. Ogopa kanisa linaloweza kufadhili Civil Wars.
 
Unapofika ibadani waraka unasomwa mbele ya waumini wote akiwemo kiongozi mkubwa kisiasa kisha naye anapewa nakala yake anaipokea kwa unyenyekevu na kuiweka upande wake wa kulia
Huyu wa kwenye picha alijipeleka ni kimbelenbele chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…