mwanaharakati2
Member
- Nov 5, 2010
- 25
- 0
TANESCO likiwa moja ya makampuni machache ambayo bado serikali inayamiliki kwa njia moja au nyingine.
Kampuni hii ilitakiwa ijiendeshe kwa faida sana ukizingatia ime-monopolize hii huduma ya kusambaza umeme kwa muda mrefu. Cha ajabu utakuta sehemu ina wakazi wa kutosha ambao wanahitaji umeme ( tena ktk maeneo rasmi ya mradi wa viwanja vya vilivyopimwa na serikali) umeme haujasambazwa.
Hii inalikosesha shirika mapato kwani watu hawa wote wanaoishi maeneo haya wangekuwa wanalipia hii huduma. Ukifuatilia kule TANESCO ktk zone husika mara utaambiwa contractor atakuja ku-sambaza tender ilishapita nk, wanatengeneza mazingira ya rushwa.
Hivi hali hii itakwisha lini ktk hili shirika letu? Hata hapa Dar sehemu ambazo zina wakazi wa kutosha bado kusambaza umeme inakuwa tatizo!
Kama kazi imewashinda ni bora tulibinafsishe hilo shirika.
Kampuni hii ilitakiwa ijiendeshe kwa faida sana ukizingatia ime-monopolize hii huduma ya kusambaza umeme kwa muda mrefu. Cha ajabu utakuta sehemu ina wakazi wa kutosha ambao wanahitaji umeme ( tena ktk maeneo rasmi ya mradi wa viwanja vya vilivyopimwa na serikali) umeme haujasambazwa.
Hii inalikosesha shirika mapato kwani watu hawa wote wanaoishi maeneo haya wangekuwa wanalipia hii huduma. Ukifuatilia kule TANESCO ktk zone husika mara utaambiwa contractor atakuja ku-sambaza tender ilishapita nk, wanatengeneza mazingira ya rushwa.
Hivi hali hii itakwisha lini ktk hili shirika letu? Hata hapa Dar sehemu ambazo zina wakazi wa kutosha bado kusambaza umeme inakuwa tatizo!
Kama kazi imewashinda ni bora tulibinafsishe hilo shirika.