Ubabaishaji na Utapeli benki ya CRDB

Aweke viambatanisho aende mahakamani watamlipa mpaka disturbance penalty
 
Hawa n
 
Na kama haiko hivyo nani mwenye matatizo; mleta mada au wewe? Sidhani kama Kimei anaweza kukupa kazi hata kwa bila malipo!
 
Nadhan kuna project maalumu ya kuishambulia crdb...maana imeshakuwa gumzo humu jf....kila mtu analalama tu....lakin wakat huohuo haendi pahala husika kuwasilisha tatizo lake....sijui ni utoto au ndo ule woga wa watanzania kuhoji haki zao?! Nadhan hilo jambo lake....lina sbb zaid hiz unazotoa hapa....na pengine ungemwona meneja wa tawi au supervisor...wala mambo yasingefikia kwenye kulalama! Am just thinking anyway!!
 
CRDB kiukwel wanazonga sn mim nimuhanga mmojawapo nimeomba mkopo wa mil 14 mpaka sasa sijapewa huu nimwezi wa 2 unaenda wa 3... Ukiwauliza wanasema mda si mrefu wanaweka hela... Leo nime nimepiga sim CRDB tawi la Misungwi Mwanza nilipo ombea mkopo wangu.. Wameniambia wataanza kutoa mikopo mwezi wa 7 .. Nikawauliza tarehengapi mwezi 7 wakanijib hatawao hawajui.. Yani inaonyesha nijinsi gan hawapo serious na mambo yao aisee..
 
Jamaa amewasumbua makao makuu mpaka wameweka pesa. Nadhani uzi huu pia umechangia kuwaamsha
 
Sasa utaanza aje kukatwa ikiwa hujapewa mkopo? Kama kuna wa kuwatetea kisheria ni hao walalahoi wanaoibiwa sio benki.
 
Ubabaishaji na utapeli upo. Ukisha chukua pesa ya MTU kwa siku moja unatengeneza faida isiyo halali. Yaani unakopa bila riba. Sasa benki wanawateja wengi kwa hiyo wanawezapata pesa nyingi wanaitumia kufanya biashara kwenye soko la fedha wanapata faida halafu wanarudisha bila kumlipa riba mteja walio mkopa. Embu nenda benki kakope hata laki kwa siku moja uone km utapewa.
 
Awe mvumilivu tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…