Ubabaishaji na Utapeli benki ya CRDB

Mahakamani unazunguka sana na ww, aliyekatwa aende branch atapata msaada, kuna maexpert kibao wa izo kitu huko branch.
Sawa mkuu..
Lakini wale wafanyakazi wa Bank huko China walichapwa viboko hadharani aiseeee
 
Mungu nakushukuru kwa kukataa kumiliki silaha ya moto.
 
Kwa ninavyoijua Newala, hakuna tawi la CRDB,,,,,,,,,,,,labda kama limefunguliwa mwezi uliopita.
Alifanya process zote akiwa Newala kwenye gari lao then alipokamilisha wakamwambia wameshatuma maombi yake Mtwara mjini hivyo taarifa zote huwa anaenda kuzipata Newala
 
Dah kuna bwana mmoja pale CDRB Iringa anaitwa Msafiri Duhh dharau na majibu ya hovyo ni kama muongozo wa benk. CRDB mnaweza kufanya vizuri zaidi kama hao wafanyakazi wenu watabadilika. Waelimisheni kuwa mnafanya biashara sio hisani.
 
Naomba kujua gawio la intrest rate huwa wanatoa lini?
 
Mkuu naona umechanganya kitu hapo,kwa habari zilizopo crdb hawana branch newala
 
Ushahidi kama upo afike kwa Meneja wa Tawi amwelezee hiyo ishu nzima ataona jinsi meneja atakavyo mwangukia asifike mbali wala asipeleke mbele hii ishu
Kupeleka mbele wapi mkuu maana huo mkopo unaanzia makao makuu na wanao fanya makato ni makao makuu
 
Unajua mie nashangazwa na malalamiko ya waTZ ambayo hayana msingi, wewe kama umekatwa tuu kwenye a/c sa unasubiri nini badala ya kwenda pale na statement yako uclaim ulichokatwa uone kama hawatarudisha;
Mkuu hapa hutakiwi kumlaumu huyo mleta mada,ujue elimu haina mwisho ni jambo la kupeana mawazo
 
Kwa ninavyoijua Newala, hakuna tawi la CRDB,,,,,,,,,,,,labda kama limefunguliwa mwezi uliopita.
Hakuna CRDB labda wamefungua wiki iliyopita na lile gari lao la mobile banking huwa linaishia Tandahimba nahisi.
 
Wamejikopesha hao iwe kwa bahati mbaya au makusudi. Akadai hela yake na interest. Na kama anapenda kesi akafungue kudai faini ya usumbufu alioupata kwa kukosa sehemu ya mshahara wake
 
Alifanya process zote akiwa Newala kwenye gari lao then alipokamilisha wakamwambia wameshatuma maombi yake Mtwara mjini hivyo taarifa zote huwa anaenda kuzipata Newala
Okay, kama ni hivyo sawa.
 
Its about time hii Benki ibadilishe mfumo wake wa kuhudumia wateja. Walishanisumbua sana kwa zaidi ya miezi minne kutatua kashida kadogo ambacho kanatatulika in ten minutes.
HAWAKO MAKINI KIUTENDAJI
 
Hilo ni suala la utumish, wao ndio watapeleka data za ww kukatwa, do ishu itakuwa crdb walisitisha mkopo wakat tayar afsa utumish kapeleka data hazina. Pesa yke atapewa na atamaliza mapema maana keshaanza marejesho
 
kwa
Hili ndio tatizo kubwa, and alarming.
BOT msilale sana
Kwa kweli CRDB ishughulikiwe unaweza omba mkopo ikachukua mwaka mara ooh hela za hiki zinay=takaiwa mara ooh hiki kinatakiwa, mara ooh wamesitisha! Hawaeleweki!. BOT fuatilia hili ni jipu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…