Kuku anakojoa pamoja na kinyesi..Tutajua kwann kuku hakojoi....
Labda nikuulize ulishaona General wa Jeshi Mwanamke Dunia hii anayeongoza vita dhidi ya Adui ?
Itakuwa, hata Magufuli alipokuwa hoi na hata mauti kumkuta, wakubwa wanakuambia yupo ofisini akiendelea na kazi.Exactly, lile tamko la JWTZ siyo la kawaida hii nchi haipo shwari kama watu wanavyodhani na ninaposema haipo shwari nina maana ndani ya vyombo vya usalama kuna tatizo.
Sukuma gang mistake walioifanya ni moja tu, kumuweka Msoga Gang member mmoja kwenye nafasi kama ile pasipo kujua kuna leo na kesho.tatizo la sukuma gang ushamba mwingi, msoga gang wapo smart sana kwenye propaganda na hapa ndo wanawawin kirahisi sukuma gang bila wao kujua.
yeah, maza kwenye ile nafasi alikua bonge la snitch.Sukuma gang mistake walioifanya ni moja tu, kumuweka Msoga Gang member mmoja kwenye nafasi kama ile pasipo kujua kuna leo na kesho.
Tofauti na hapo Msoga gang mpaka sasa walikuwa na hali mbaya.
Swali fikirishi.Ni uasi ambao haujapata kutokea ndani ya chama cha mapinduzi CCM.. Baada ya kukaa madarakani muda mrefu sana ni kama kuna kikundi ndani yake kimejikuta kinajiona wao ndio ELITES wa hii nchi, na lolote ama chochote kinachofanyika ni lazima kipate kibali chao
Imefika mahali kikundi hicho kilichojitengenezea ukwasi na mtandao wa ajabu wenye ufadhili mkubwa wa matajiri waliojatajirikia ccm ambao si watanzania asilia kwa asilimia 100.. Kina uwezo wa nani awe nani kwenye nafasi gani
Ujio wa mwendazake ulifanikiwa kwa kiasi chake kuudhoofisha huu mtandao wa hiki kikundi lakini naye akaaza kuharibu kwa kuanza kutengeneza himaya nyingine mpya ya upande mmoja tena kwa ukatili mkubwa sana
Hapa kitisho kilikuwa wazi ni vita kati ya himaya mpya ya mwendazake vs mtandao kongwe THE ELITES ... Halafu sasa hiki kirusi kipya cha visiwani chenye vinasaba vingi na The elites! Hili linakolezwa na fununu zisizothibitishwa kwamba Taifa la Tz liko chini ya watoto wa familia moja.. 'Baba mmoja'... Ni TUHUMA!
Yaliyotokea ya mhimili mwingine mpaka kupelekea kujiuzulu, kauli ya mkuu wa kaya kuhusiana na 2025, uteuzi wa baraza jipya la mawaziri, na makatibu wakuu pamoja na wengine wote kuna tafsiri moja tuu... Uasi ujao na vita mpya kati ya sukuma gang, mtandao wa the elites , visiwani na bara na chawa wenye maslahi kwa kila upande..
Kila kundi liko chimbo likijiandaa kivyake... Ni mchezo wa kuwindana...uasi mkubwa waja...na ndio nafasi pekee ya walio nje ya mfumo ku take cover!
Mmmh aseee..!Umuhimu upi? Wa kuunda kikundi cha kikabila? You are too stupid to understand this ...!
Magufuli yule jambazi na muuaji mwehuLeo ndiyo umejua umuhimu wa Magufuli?
Na bado nyumbu gang wote mtatubu kwa Chato.
Mama kapewa kazi ya kuhamisha mali bara ili kuvunja muungano.Ila pia nahisi muungano kutetereka
Umuhimu upi? Wa kuunda kikundi cha kikabila? You are too stupid to understand this ...!
waHawa watu hawajui magu aliharibu mifumo kwa upande flan japo alikula mfupa uliowashinda wengine.. Kuna wkt magu aliharibu mtake msitake.
Kwa mfano, kujitenga na magharib ni kosa.
Kutengeneza makundi ni kosa gang hizi ni upuuzi.
Kutoshinikiza katiba na kuilinda yye aliikiuka kuivunja
Kutengeneza wahuni..wakina sabay na makonda...
Kuua upinzani ni kosa kubwa sana