TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,944
- 23,180
Unganishi.Ramli...
Unganishi.Ramli...
😁😁😁😁Councellor mstaafu wwa Germany alifanya nini au alikuwa shemale?
Nipe dokezo mkuu sijalisikia.Hilo tamko ambalo limeondolewa kumbe ni la kweli kwa hao majamaa yenye mabaka???!!
Hili ndio kubwa linalokujaIla pia nahisi muungano kutetereka
Marekani ni bara ambalo limeamua kuwa nchi moja. Mfumo wa uendashaji wa serikali marekani na tz ni mfano wa mbingu na ardhi.Nimeshakuelewa unachomaanisha. Lakini mkuu marekani ilijengwa na kuruhusu uwepo wa watu toka mataifa mbalimbali. Mfano albert einstein siyo mmarekani, nikolas tesla siyo mmarekani wa kuzaliwa, wapo wengi wachina wahindi, utaona hata CEO wa google ni mhindi, steve baba yake msyria et el.
Au hili haliwork tena? Maana china naona inajengwa na wao wenyewe.
Remember Samson? Who destroyed him? They’re destroyers!!A woman never builds a nation, haijawahi kutoka katika Historia ya Dunia yetu hii, a Woman destroys a nation!
Na ugermany je nchi ambayo kwa miaka 15 ilishikiliwa na mwanamke?Marekani ni bara ambalo limeamua kuwa nchi moja. Mfumo wa uendashaji wa serikali marekani na tz ni mfano wa mbingu na ardhi.
Nimeshakuelewa unachomaanisha. Lakini mkuu marekani ilijengwa na kuruhusu uwepo wa watu toka mataifa mbalimbali. Mfano albert einstein siyo mmarekani, nikolas tesla siyo mmarekani wa kuzaliwa, wapo wengi wachina wahindi, utaona hata CEO wa google ni mhindi, steve baba yake msyria et el.
Au hili haliwork tena? Maana china naona inajengwa na wao wenyewe.
Remember Jesus, nani alibeba mimba, ni Mariam na ni mwanamke 🤣Remember Samson? Who destroyed him? They’re destroyers!!
Hujaelewa we umesema Markel ame triger kuanguka kwa germany japo hukusema ila mimi nikajua unamaanisha kuruhusu muingiliano wa hao wahamiaji toka huko wanakokimbia. Ndiyo maana nikakupa.mfano wa US kujengwa na watu toka mataifa tofauti si kukupa mfano ya US kuongozwa na mwanamkeUSA haijawahi kujengwa na Mwanamke, kwanza hata kupiga kura Wanawake wameanza kuruhusiwa miaka ya 60‘ hata Ulaya pia Wanawake walikuwa hawaruhusiwi kupiga kura.
Labda nikuulize ulishaona General wa Jeshi Mwanamke Dunia hii anayeongoza vita dhidi ya Adui ?
That Germany dude!Na ugermany je nchi ambayo kwa miaka 15 ilishikiliwa na mwanamke?
Linasema watamlinda raisi na amiri jeshi mkuu wa JAMHURI na wakakanusha kuingilia mambo ya ndugai kujiuzuluNimekosa mengi,mkuu Hilo tamko lilikua linasemaje???asee
Hata hapa ndo ishakuwa hivyo. Nchi yetu haina maajabu, maendeleo ya kusuasua tu ukicompare na rasilimali. So awepo mwanamke au mwanaume yote sawa tu maana hata wanaume waliotangulia mambo yale yale tu.That Germany dude!
Kwani Uingereza ilitawala Dunia ikiwa chininya utawala wa nani?Councellor mstaafu wwa Germany alifanya nini au alikuwa shemale?
Angel markel aliwezaA woman never builds a nation, haijawahi kutokea katika Historia ya Dunia yetu hii, a Woman destroys a nation!