Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,044
- 5,920
Kichwa cha habari amesema ArabuniMtoa mada ametaja kabisa Nchi anazozingumzia Qatar, Oman, Bahrain, Saudi Arabia na UAE wewe umeenda kuongeza Yemen an Afrika Kaskazini. Haya weka na Somalia basi ufurahi maana Wagalatia huoni raha bila kuchomeka maneno ya kero
Very correctiitwe DOMO GHASIA itapendeza sana
Huu ndo mwisho wako wa kufikiri? Unajua mchango wa Dr. Slaa AKIWA mbunge wa upinzani katika kuibua na kupgia kelele kashfa za EPA na RICHMOND? Hivi unajua hii Escrow bila Kafulila kuishikia bango usingeijua kama unavyoijua leo? Mwisho: Kwa kifupi Sana hemu jaribu kueleza neno demokrasia Lina maana gani?Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana
Wapo wapi hao waliopiga "kelele"?Huu ndo mwisho wako wa kufikili? Unajua mchango wa Dr Slaa AKIWA mbunge wa upinzani katika kuibua na kupgia kelele kashifa za EPA na RICHMOND? Hivi unajua hii Escrow bila kafulila kuishikia bango usinge ijua Kama unavyoijua leo? Mwisho: Kwa kifupi Sana hemu jaribu kueleza neno demokrasia Lina maana gani?
Hapo ndo patamu sasa
Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana
tueleze baada ya kuifahamu ESCROW kipi kilifanyika? je yale mabulungutu yaliyoshehenezwa kwenye viroba na sandarusi yalirudishwa?Huu ndo mwisho wako wa kufikili? Unajua mchango wa Dr Slaa AKIWA mbunge wa upinzani katika kuibua na kupgia kelele kashifa za EPA na RICHMOND? Hivi unajua hii Escrow bila kafulila kuishikia bango usinge ijua Kama unavyoijua leo? Mwisho: Kwa kifupi Sana hemu jaribu kueleza neno demokrasia Lina maana gani?
Nchi tajwa wanajielewaNimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana
Wana Mfalme mpenda Vipochi hatareeEswatini (Swaziland)vp?
Vipi uliona na NGOs/CSOs kule? Je Chaggema kuna demokrasia?
Wanajitegema bila "demokrasia". Hiyo ndio nadhan ilikuwa hoja ya mtoa mada. Huwez kudai demokrasia zaidnya miaka 50 na bado NGO kila kona bado ung'ang'anie demokrasiaNGOs za nini wakati wanajitosheleza?
Alafu dharau peleka huko kwenu Lumumba. انت من اهلل ظالمين (س.س.م)
Pia Marekani ni nchi maskini sana sababu kuna demokrasia. Wewe ni idiotNimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana
Ni mfumo mwingine wakiutawala ambao huenda wasomi wanaweza kukitolea machapisho ya kina, Kuna namna walitokea madikteta waliokua na manufaa kwa nchi zao, Joseph Stalin wa Urusi, Mao, Adolh Hitla, Kipenzi changu Muamar Gadafi, Swahiba wa Kweli Mzee wangu Kagame.Siyo Uarabuni kote, Yemeni, Lebanon, hata Afrika ya Kaskazini kuna Waarabu pia na masikini sana tu.
Ni mfumo mwingine wakiutawala ambao huenda wasomi wanaweza kukitolea machapisho ya kina, Kuna namna walitokea madikteta waliokua na manufaa kwa nchi zao, Joseph Stalin wa Urusi, Mao, Adolh Hitla, Kipenzi changu Muamar Gadafi, Swahiba wa Kweli Mzee wangu Kagame.
Watu hawa Ni viongozi walioamua kuyapeleka mataifa yao kwenye nchi ya ahadi na kwakweli macho yalione.
Kukumbatia demokrasia, isiyo na kichwa wala miguu si Jambo la maana wala lenye tija katika Taifa lenye malengo makubwa.
Daah!tueleze baada ya kuifahamu ESCROW kipi kilifanyika? je yale mabulungutu yaliyoshehenezwa kwenye viroba na sandarusi yalirudishwa?
Richmond tulihabarishwa, enhe bei ya umeme leo ikoje?
saa nyingine kutojua tatizo kwaweza kuwa nafuu kuliko kujua na kujikuta unajifia, kwa, presha.
ref. wagonjwa wa vvu wakishajitambua, hudhoofika mapema
Point ya kufungia mwakaNi mfumo mwingine wakiutawala ambao huenda wasomi wanaweza kukitolea machapisho ya kina, Kuna namna walitokea madikteta waliokua na manufaa kwa nchi zao, Joseph Stalin wa Urusi, Mao, Adolh Hitla, Kipenzi changu Muamar Gadafi, Swahiba wa Kweli Mzee wangu Kagame.
Watu hawa Ni viongozi walioamua kuyapeleka mataifa yao kwenye nchi ya ahadi na kwakweli macho yalione.
Kukumbatia demokrasia, isiyo na kichwa wala miguu si Jambo la maana wala lenye tija katika Taifa lenye malengo makubwa.
Wa chama tawala ni wizi tu. Ongelea panda zote mbili. Kwa ujumla siasa kwa Tz ni wizi haijalishi uko upande gani.Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana