mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
CCM ipo madarakani miaka 57 hapa nchini, imeshindwa kuwapatia wananchi Uhakika wa huduma ya maji na umemeNakaa Majohe.
CCM ipo madarakani miaka 57 hapa nchini, imeshindwa kuwapatia wananchi Uhakika wa huduma ya maji na umemeNakaa Majohe.
Uliowasikia wakimsifu huku uraiani wengi ni kama mimi tuOkay....so?
Kwa hiyo mimi ni mjinga maana namkubali JPM
Uliowasikia wakimsifu huku uraiani wengi ni kama mimi tu
Wewe pamoja na Nyani Ngabu kama kweli Maghufuli anakubalika kwa kiasi hicho !!!Mkuu ulichokizungumza ndo uhalisia.
Ndo maana mkuu hua anawapotezea tu wateme nyongo zao zisije waumiza, kiukweli anaechukulia jukwaa Kama kipimo cha kukubalika au kutokubalika kwa Magufuli imekula kwake.
Jamaa asilimia kubwa ya watanzania wanamkubali ile mbaya ,research imefanyika na inaendelea kufanyika nchi nzima.
Twaweza kwenye tafiti yao walisema CCM inapendwa zaidi na wazee na watu wasio soma.
Sishangai.
Nchi hii kwa sasa hakuna upinzani kuna genge la wahuni,lazima wadhibitiwe, upinzani ulikwisha 2015, mlipokula matapishi yenuWewe pamoja na Nyani Ngabu kama kweli Maghufuli anakubalika kwa kiasi hicho !!!
Uoga wa tume huru ya uchaguzi wa nini ?!
Uoga wa katiba mpya ya nini ?!
Kwanini awadhibiti wapinzani wake ?! Kwanini atumie dola dhidi ya wapinzani wake ?!
Haya ni maoni yenu Lumumba mtu hawezi kupinga. Lakini reality si hivyo.
Watu wa JF ndio hao hao wa mitaani, tofauti ni kuwa humu JF wanahakikishiwa usalama wao ndio maana wanaongea hata ya moyo (naamini hakuna anayewalipa), uraiani watu wanahofia maslahi na familia zao!
JF humu ni siri na 2020 kura zitakuwa za siri, tatizo ni namna uchaguzi wenyewe unavyoshughulikiwa!
Siamini kwenye mtazamo wa mleta mada!
Huu ndo ukweli asilimia 80 humu wanaompinga rais wanatumia fake I'D. Na uraiani huwezi tumia fake ukisema kila mtu anasikiaTatizo uraiani huwezi kutumia fake ID lakini naona mambo ni hayo hayo tu.
Kwani wazee na wasiosoma siyo Watanzania?
Naunga mkono hoja, 2020 sio Magufuli tuu ndiye atashinda kwa kishindo, bali CCM itarudisha karibu majimbo yote, isipokuwa Kigoma kwa Zitto.mimi naamini kabisa kuwa 2020 Rais Magufuli atashinda ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi mkuu. Itakuwa kinyume na ilivyokuwa kwa Kikwete....alishinda kwa kishindo kwenye awamu yake ya kwanza na kwenye awamu ya pili akapata ushindi mdogo sana kulinganisha na ule wa awali.
Ndio yeye haswa! Kwa kununuliwa kule unatarajia nini sasa?Hahahaa Ngabu jana nimikuona magogoni!