lumanga
Senior Member
- Nov 27, 2017
- 114
- 48
We unajua nn?Usemayo yana ukweli kiasi chake tatizo watu wengi wanao muunga mkono magufuri ni mbumbu na wasio elewa hii nchi kwa sasa na wananchi wake wanapitia magumu kiasi gani kuanzia uchumi, siasa, elimu, afya na mengineyo,
ndio maana inapaswa watu wawe na elimu ya kutosha wafumbuke macho.