Queenever
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,051
- 3,025
Xaxa wanaudhi zaidi,,,Bora hawa kuliko wale wa xaxa
Najiulza xaxa ina herufi nne na sasa Ina herufi nne,,sasa anakua anarahisisha nini sijui
Xaxa wanaudhi zaidi,,,Bora hawa kuliko wale wa xaxa
Kulikoni Mguno mdogo wangu?Mmhh
Sio kwa makavu hayo[emoji85] [emoji85]Kulikoni Mguno mdogo wangu?
Mmh. Haya bana.Sio kwa makavu hayo[emoji85] [emoji85]
Huu unaitwa tafuta thamani ya XWanasemaga ni "Xwagger" wanakera kinyama
Na block si entertain ujingaUnakuta kidume kinadinda vizuri tuu, unakitumia text "Inakuaje mzee baba" chenyewe kinajibu "Xwali tyuu..
Ukiangalia wanaoandika hivyo vingi ni vile viwanafunzi vya Certificate na Diploma yaani bila kuandika hivyo wanajiona hawajawa wanachuo bado.[/QUOTE
Nafuu yako umefikia phd na kuendelea na huku phd ndio ya mwisho ikute tu unakadegree ila unasumbua wenzako wasinywe maji tusomeshe basi tusiwe na diploma tupande kielimu kazi kujishaua huna lolote .
Unadharau wenzakoo
Huna akiliNa wewe jifunze kuandika vizuri. Vizur, lakn na rafik ndo nini? Ni kiswahili cha wapi hiki?
Imekugusa!??? Jirekebishe mzeemamaHata wewe pia unatakiwa ujifunze kuandika kiswahili fasaha,acha kuandika kama vile unakimbizwa.
HahahaBila kuwasahau wale wa
Hasubuhi=asubuhi
Reo=Leo
Sihendi=siendi
Hijumaa=ijumaa
Kolosho=korosho
Kiukweli wanachefua
Huna logic bora uandae uzi wako tu..Wewe mwenyewe majanga matupu!
Lakn=lakini
Hpo=hapo
Lingne=lingine
Urafik=urafiki
Itakuaje=itakuwaje
Mpenz=mpenzi
Mnashndwa=mnashindwa
Wewe pia unahitaji msaada wa Mwalimu Deo Kisandu!
Hiv ulikuwa unasoma vitu ambavyo nimeandika!? We unahis mm sijui nilichoandika!??? Naongelea xxx na uhalali wake1. Akili yenu[emoji777] akili zenu[emoji818]
2. Nyie[emoji777] ninyi[emoji818]
3. Ni likijana[emoji777] ni kijana[emoji818]
4. Lingine[emoji777] mwingine[emoji818]
Huu nao si uandishi mzuri.
Ukitaka kukosoa anza kwanza kutoa boriti katika jicho lako ndipo uangalie kibanzi kilicho kwa mwenzio.
Umesahau:-Bila kuwasahau wale wa
Hasubuhi=asubuhi
Reo=Leo
Sihendi=siendi
Hijumaa=ijumaa
Kolosho=korosho
Kiukweli wanachefua
Takuja ucjalHata Wale wa:-
Tantee
Tnx
Takii
Mbona wewe pia umeandika maneno kama dah, sms na hpo? sijui ulikuwa unamaanisha nini? Kuna kiswahili cha kujibia mtihani vile vile kipo kingine kwa ajiri ya kujifurahisha ili mradi anayeandikiwa anaelewa. Hii ni njia mojawapo ya kupunguza wingi wa maneno kwenye meseji .mfano xna=sina hapa umeokoa nafasi moja.Hiv nyie ndugu zangu mmesoma shule gan!?
Walimu wenu walikuwaje kwenye hizo shule zenu.???
Mbona mnaongea vizur tu lakn mkiandika sijui akili yenu inakuaje!????
Hapa nawazungumzia nyie ambao mnashndwa kutofautisha X na S katika uandishi..
Utaona mtu anaandika
Xaxa akimaanisha sasa
Xawa akimaanisha sawa
Xpend
Xion
Xna
Xamahan
Xko poa
Xorry
Xante
Xio mimi
Xaa ngap!?
Nmexahau
Nna xhida baby
Hapa utalikuta lingne ni dume lina ndevu zake lakin linajifanya nalo ni likijana la sasa linachat kama punguani
Wengne ni masista duu wanapendeza kweli lakin dah...
Mfano mimi ukinitumia sms ya hivyo tu na urafik wetu unaishia hapo hpo usije kuniambukiza ujinga..
Lingne utakuta yeye na mpenz wake wote wanachat hivyo sasa hapo unategemea mtoto akizaliwa akili yake itakuaje!????
Mwalimu Deo kisandu naomba msaada wako..hawa watu wana matatizo gan!?