Uandishi huu wa kishamba utaisha lini!!

Uandishi huu wa kishamba utaisha lini!!

pathfinder_tz

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2018
Posts
356
Reaction score
377
Hiv nyie ndugu zangu mmesoma shule gan!?
Walimu wenu walikuwaje kwenye hizo shule zenu.???
Mbona mnaongea vizur tu lakn mkiandika sijui akili yenu inakuaje!????
Hapa nawazungumzia nyie ambao mnashndwa kutofautisha X na S katika uandishi..
Utaona mtu anaandika
Xaxa akimaanisha sasa
Xawa akimaanisha sawa
Xpend
Xion
Xna
Xamahan
Xko poa
Xorry
Xante
Xio mimi
Xaa ngap!?
Nmexahau
Nna xhida baby

Hapa utalikuta lingne ni dume lina ndevu zake lakin linajifanya nalo ni likijana la sasa linachat kama punguani
Wengne ni masista duu wanapendeza kweli lakin dah...
Mfano mimi ukinitumia sms ya hivyo tu na urafik wetu unaishia hapo hpo usije kuniambukiza ujinga..
Lingne utakuta yeye na mpenz wake wote wanachat hivyo sasa hapo unategemea mtoto akizaliwa akili yake itakuaje!????

Mwalimu Deo kisandu naomba msaada wako..hawa watu wana matatizo gan!?
 

Attachments

  • FB_IMG_1520457963026.jpeg
    FB_IMG_1520457963026.jpeg
    54 KB · Views: 64
Hakuna neno silipendi kama JOMONI na mwanaume kuniambia MAMBO/HII
 
Kama wamesoma uzi huu na bado wakakaza basi tatizo ni kubwa zaidi ya tufikiriavyo. Kweli pande hizi muda mwingine ni sehemu ya mtambo wa kurekebisha tabia
 
Back
Top Bottom