Hata wewe pia unatakiwa ujifunze kuandika kiswahili fasaha,acha kuandika kama vile unakimbizwa.Hiv nyie ndugu zangu mmesoma shule gan!?
Walimu wenu walikuwaje kwenye hizo shule zenu.???
Mbona mnaongea vizurv tu lakn mkiandika sijui akili yenu inakuaje!????
Hapa nawazungumzia nyie ambao mnashndwa kutofautisha X na S katika uandishi..
Utaona mtu anaandika
Xaxa akimaanisha sasa
Xawa akimaanisha sawa
Xpend
Xion
Xna
Xamahan
Xko poa
Xorry
Xante
Xio mimi
Xaa ngap!?
Nmexahau
Nna xhida baby
Hapa utalikuta lingne ni dume lina ndevu zake lakin linajifanya nalo ni likijana la sasa linachat kama punguani
Wengne ni masista duu wanapendeza kweli lakin dah...
Mfano mimi ukinitumia sms ya hivyo tu na urafik wetu unaishia hapo hpo usije kuniambukiza ujinga..
Lingne utakuta yeye na mpenz wake wote wanachat hivyo sasa hapo unategemea mtoto akizaliwa akili yake itakuaje!????
Mwalimu Deo kisandu naomba msaada wako..hawa watu wana matatizo gan!?
Hiyo ndo inanichefua kweliHata wale wa Jomoni pia ni utoto nao pia.
Hapo XaxaHata wewe pia unatakiwa ujifunze kuandika kiswahili fasaha,acha kuandika kama vile unakimbizwa.
Nina classmate wangu(nilisoma nae Olevel),ana shahada ya sheria kwa sasa na huo ndio uandishi wake.Ukiangalia wanaoandika hivyo vingi ni vile viwanafunzi vya Certificate na Diploma yaani bila kuandika hivyo wanajiona hawajawa wanachuo bado.
Mbona wewe unatembea na wanafunzi lkn sisi hatusemi ? Unafikiri mkeo hajui ?Hiv nyie ndugu zangu mmesoma shule gan!?
Walimu wenu walikuwaje kwenye hizo shule zenu.???
Mbona mnaongea vizur tu lakn mkiandika sijui akili yenu inakuaje!????
Hapa nawazungumzia nyie ambao mnashndwa kutofautisha X na S katika uandishi..
Utaona mtu anaandika
Xaxa akimaanisha sasa
Xawa akimaanisha sawa
Xpend
Xion
Xna
Xamahan
Xko poa
Xorry
Xante
Xio mimi
Xaa ngap!?
Nmexahau
Nna xhida baby
Hapa utalikuta lingne ni dume lina ndevu zake lakin linajifanya nalo ni likijana la sasa linachat kama punguani
Wengne ni masista duu wanapendeza kweli lakin dah...
Mfano mimi ukinitumia sms ya hivyo tu na urafik wetu unaishia hapo hpo usije kuniambukiza ujinga..
Lingne utakuta yeye na mpenz wake wote wanachat hivyo sasa hapo unategemea mtoto akizaliwa akili yake itakuaje!????
Mwalimu Deo kisandu naomba msaada wako..hawa watu wana matatizo gan!?
Ona unavyokurupuka kama umejinyinyea!! Mbona unaongea vitu usivyojua!? Mhh kweli wewe ni zwazwaMbona wewe unatembea na wanafunzi lkn sisi hatusemi ? Unafikiri mkeo hajui ?
Sipendi hawa H... Afu wengi wao wametoka Manyara hukoBila kuwasahau wale wa
Hasubuhi=asubuhi
Reo=Leo
Sihendi=siendi
Hijumaa=ijumaa
Kolosho=korosho
Kiukweli wanachefua
Wewe mwenyewe majanga matupu!Hiv nyie ndugu zangu mmesoma shule gan!?
Walimu wenu walikuwaje kwenye hizo shule zenu.???
Mbona mnaongea vizur tu lakn mkiandika sijui akili yenu inakuaje!????
Hapa nawazungumzia nyie ambao mnashndwa kutofautisha X na S katika uandishi..
Utaona mtu anaandika
Xaxa akimaanisha sasa
Xawa akimaanisha sawa
Xpend
Xion
Xna
Xamahan
Xko poa
Xorry
Xante
Xio mimi
Xaa ngap!?
Nmexahau
Nna xhida baby
Hapa utalikuta lingne ni dume lina ndevu zake lakin linajifanya nalo ni likijana la sasa linachat kama punguani
Wengne ni masista duu wanapendeza kweli lakin dah...
Mfano mimi ukinitumia sms ya hivyo tu na urafik wetu unaishia hapo hpo usije kuniambukiza ujinga..
Lingne utakuta yeye na mpenz wake wote wanachat hivyo sasa hapo unategemea mtoto akizaliwa akili yake itakuaje!????
Mwalimu Deo kisandu naomba msaada wako..hawa watu wana matatizo gan!?
kagera na Mara pia,,mwingine ni university graduate kabisa,,,ila sasa,,,(hunafanyaje sasa ivi lafiki yangu)Sipendi hawa H... Afu wengi wao wametoka Manyara huko
Hii haina shidaNa kuna wale mda wote anakutext!!! Asubuhi njema,mchana mwema,usiku mwema(kwa kila siku) Hii nayo imekaaje! mtu unafungua text vizuri unajua text ya mchongo unakuta mambo izo.
au mtu unajitutumua kumuandikia message nzuri kabisa, alafu unjibiwa, "k" inakera kwakweli.Hiv nyie ndugu zangu mmesoma shule gan!?
Walimu wenu walikuwaje kwenye hizo shule zenu.???
Mbona mnaongea vizur tu lakn mkiandika sijui akili yenu inakuaje!????
Hapa nawazungumzia nyie ambao mnashndwa kutofautisha X na S katika uandishi..
Utaona mtu anaandika
Xaxa akimaanisha sasa
Xawa akimaanisha sawa
Xpend
Xion
Xna
Xamahan
Xko poa
Xorry
Xante
Xio mimi
Xaa ngap!?
Nmexahau
Nna xhida baby
Hapa utalikuta lingne ni dume lina ndevu zake lakin linajifanya nalo ni likijana la sasa linachat kama punguani
Wengne ni masista duu wanapendeza kweli lakin dah...
Mfano mimi ukinitumia sms ya hivyo tu na urafik wetu unaishia hapo hpo usije kuniambukiza ujinga..
Lingne utakuta yeye na mpenz wake wote wanachat hivyo sasa hapo unategemea mtoto akizaliwa akili yake itakuaje!????
Mwalimu Deo kisandu naomba msaada wako..hawa watu wana matatizo gan!?
Hahaaaa. Duuh.Nina classmate wangu(nilisoma nae Olevel),ana shahada ya sheria kwa sasa na huo ndio uandishi wake.
Ninachokiona hapo ni ulimbukeni waonekane ni wa kisasa(huyu jamaa yangu ni wa "bush" huko)
Alafu, ela, kalibuni,Bila kuwasahau wale wa
Hasubuhi=asubuhi
Reo=Leo
Sihendi=siendi
Hijumaa=ijumaa
Kolosho=korosho
Kiukweli wanachefua