Uandishi huu wa kishamba utaisha lini!!

Uandishi huu wa kishamba utaisha lini!!

Jomoni.... Kuna dogo nimemnyima 10 hivihivi.

Ilikuwa hivi, Dada naomba hata ELA ya chai bax.


Nikajibu sawa badae kidogo.

Akajibu jomoni Dada nfkirie faxta plz xijanywa xhai.


Hadi sasahivi labda kafa njaa.
 
Utaona Meseji kwenye kundi la wanandugu * ni sheeeedaah* muhitimu huyo.
 
Back
Top Bottom