Uandishi huu wa kishamba utaisha lini!!

Uandishi huu wa kishamba utaisha lini!!

Hiv ulikuwa unasoma vitu ambavyo nimeandika!? We unahis mm sijui nilichoandika!??? Naongelea xxx na uhalali wake
Umeongelea uandishi mzuri na sio xxxx, rudia tena kusoma utagundua,
pengine hukujua hata ujumbe unaotaka kuufikisha.
 
Imekugusa!??? Jirekebishe mzeemama
Mbona unatokwa povu hovyo kama mgonjwa wa kifafa?
Wewe hujui kuandika halafu unawafundisha wenzako?!
Kipofu anamuelekeza njia kiziwi itawezekana kweli?
Angalia comment zangu humu jf kama utakuta hiyo miandiko yako ya kike kike.
 
MI KIUKWELI MTU AKINITUMIAGA SMS YA UPUUZI WA AINA HIYO HUWA NAZIKAUSHIA AKINIULIZA SMS YANGU UMEPATA?NAMWAMBIA NIMEIPATA ILA SIJAIELEWA MPAKA ANARUDIA KUANDIKA UPYAAA!.....HUWA SITAKI MCHEZO KABISA.

KUNA WAPUUZI WENGINE NILIWAHI ONA MAHALI FULANI,BADALA AANDIKE "TUONANE" YEYE AKAANDIKA "208"...DAAAAAH!KIUKWELI ZINACHEFUA SANA
 
Hiv ulikuwa unasoma vitu ambavyo nimeandika!? We unahis mm sijui nilichoandika!??? Naongelea xxx na uhalali wake
Angalia kichwa cha habari kisha ndio uje unijibu.
Anyway sikulaumu maana jina unalotumia lina maana ya mtu anayetafuta njia. Nadhani unatafuta njia ya kuelekea kujifunza.
 
Ukiangalia wanaoandika hivyo vingi ni vile viwanafunzi vya Certificate na Diploma yaani bila kuandika hivyo wanajiona hawajawa wanachuo bado.
wewe kama una degree ya upishi wa maandazi usiwa embarass watu wa certificate na diploma. stop nonsensical opinions, mbona kuna wazee wengi tuu wana shahada mpaka masters wanachati hivo
 
Bila kuwasahau wale wa
Hasubuhi=asubuhi
Reo=Leo
Sihendi=siendi
Hijumaa=ijumaa
Kolosho=korosho
Kiukweli wanachefua
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
wewe kama una degree ya upishi wa maandazi usiwa embarass watu wa certificate na diploma. stop nonsensical opinions, mbona kuna wazee wengi tuu wana shahada mpaka masters wanachati hivo
Duuh! Poooovu. Hahahaaaa.

Hebu kanisome unielewe basi wacha Papara Mkuu. Mbona sijajumuisha wote au umeelewaje?

Pole sana.
 
Back
Top Bottom