Uandikishaji wa BVR kwa mkoa wa Dar es Salaam

Leo Jumatatu ni Usaili kwa upande wa Jimbo la Kawe… kesho ni sisi upande wa jimbo la Ubungo.
Huitwi kwa simu maana niliona tangazo linasema kwa aliyeomba aje kufanya usaili siku husika.
sasa je,kama huna cheti cha computer lakini unajua kutumia computer na programmes zake,vipi watakubali kukusaili? Au wanaangalia cheti kuliko uwezo.
Na je,kama hutaki kuwa Bvr kit operator bali unataka uwe mwandishi msaidizi bado wanahitaji kuku saili kwa computer?
Msaada tutani…
 
Kwa kusaidia na maswali wilaya zote za mkoa wa Dar es salama sifa ilikuwa sawa kama tajwa hapo. Mwisho ilikuwa ijumaa SAA Tisa. Sijajua lini watatangaza majina waliochaguliwa asee mi nimeomba ilala na Temeke asee ndo nasikilizia hapa
 
Kwa kusaidia na maswali wilaya zote za mkoa wa Dar es salama sifa ilikuwa sawa kama tajwa hapo. Mwisho ilikuwa ijumaa SAA Tisa. Sijajua lini watatangaza majina waliochaguliwa asee mi nimeomba ilala na Temeke asee ndo nasikilizia hapa

mkuu kwan ilala na temeke usaili ni Lin?
 
Nimekwenda Temeke na Ilala. Maagizo nenda kwenye kata uliyomba majina yatabandikwa huko. Sasa Mimi niliomba Kata ya Jangwani usaili kesho. na Temeke usaili kesho kwenye kata husika please
 
Nimekwenda Temeke na Ilala. Maagizo nenda kwenye kata uliyomba majina yatabandikwa huko. Sasa Mimi niliomba Kata ya Jangwani usaili kesho. na Temeke usaili kesho kwenye kata husika please

Kwaio hata ilala tunatakiwa twende kwenye kata husika? Na kutakua na usaili ama vipi na je? Kwa bugurun ni wapi naweza kuangalia majina?
 
Hebu soma maelezo hayo... nao ndugu Bado KIDUDE kama umepotosha, au nimekuelewa vibaya
 

Attachments

  • 1434986067708.jpg
    1434986067708.jpg
    47.7 KB · Views: 219
Last edited by a moderator:
Siku za ajabu nimetoka kinondoni Leo ....ulikuwa usaili Wa jimbo LA Kawe watu walikuwa ni wengi mno kiasi kwamba hara interview ilikuwa sio strict sana ila watu wamefanyiwa usaili almost all of em sauti ya ajabu
 
Last edited by a moderator:
Siku za ajabu nimetoka kinondoni Leo ....ulikuwa usaili Wa jimbo LA Kawe watu walikuwa ni wengi mno kiasi kwamba hara interview ilikuwa sio strict sana ila watu wamefanyiwa usaili almost all of em sauti ya ajabu
mafuru… hebu dadavua vizuri,naona unakimbia saana. Tupe tips za kueleweka… watu walikuwa wengi. Walitumia utaratibu upi kusaili. Na vipi mwisho wa siku ikawaje… na wameanza saa ngapi haswa.
mimi naenda Kesho kwa upande wa Ubungo.
Na vipi upepo ukoje… urasimu na kujuana vipo wazi wazi ili nisiaribu nauli bure ama kinasomeka vizuri? Ufafanuzi mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Hahaha usiogope kaka angu Nasakadoo kujuana kwa tz yetu sio jambo geni kabisa... Kujuana kuko pale pale ndugu yangu ila kusikukatishe tamaa kabisa Nasakadoo
 
Last edited by a moderator:
Kuanza walisema SAA mbili asubuhi ila haikuwa hivyo kaka tumeanza usaili SAA NNE kasoro ndugu yangu Nasakadoo
 
Last edited by a moderator:
Utaratibu uliopo kaka usisahau kubeba Vyeti vyako original kama ukisahau Vyeti hivyo nyumbani ujue usaili hutafanyiwa kaka angu.. Kwa hiyo beba confidential certificate broo@nasakadoo
 
Nimeongea na jamaa yangu,yeye alienda leo kinondoni. Kaambiwa washa computer na kuzima basi,kachoka kabisa anahisi ni kama kuvusha mtu kwenye mto.
 
TEMEKE tumeambiwa andika historia fupi ya maisha yako. tulipewa karatasi nyeupe. dk ni 5 tu. alaf wakakusanya. akasema.km unajua umeandika namba ya simu kwny karatasi.bas umefel.maana cjawaambia. ndo ivyo tukatawanyika akasema majibu kesho. any qn call 0717 927771
 
TEMEKE tumeambiwa andika historia fupi ya maisha yako. tulipewa karatasi nyeupe. dk ni 5 tu. alaf wakakusanya. akasema.km unajua umeandika namba ya simu kwny karatasi.bas umefel.maana cjawaambia. ndo ivyo tukatawanyika akasema majibu kesho. any qn call 0717 927771

sasa watakupigiaje Kama hawataki andike no ya simu?
 
Nilienda leo kuangalia nyomi la Jimbo la Ubungo pale Kinondoni. Kama kawaida, vijana kwa wingi wamejitokeza.

Interviewers walikuwa wanakuambia fungu excel, word au power point, kisha una type jina lako. Hapo ndio mwisho wa interview.

Ila ni muhimu kuwa na original certificates kwani wanaangalia vyeti vyako pia...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom