Daraja Makofia
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 695
- 901
Interview huwa ni issues za Basic Computer Application. Unatakiwa kujua computer ni nini? Parts za computer. Database basics, Spreadsheet appa like Ms. Excell.
ilala je? teyari ama bado ndugu zangu?
Wanalipa shngap kwa siku@makofia
ipi bora kuomba kati ya hizo nafasi mbili tajwa? na je kuna haja ya kuambatanisha na barua kutoka serikali ya mtaa husika?
Jamani mimi nimeshapeleka maombi Ya uandikishaji kinondoni na wamesema usaili utafanyika tarehe 20 mwezi huu sasa wana ndugu naombeni kuuliza kwa wale wamikoani ambao wameshafanya usaili kama huu huwa wana uliza maswali gani?
MSAADA WETU TAFADHALI!!!
kwa Temeke usaili unafanyika lini?
Jamani mimi nimeshapeleka maombi Ya uandikishaji kinondoni na wamesema usaili utafanyika tarehe 20 mwezi huu sasa wana ndugu naombeni kuuliza kwa wale wamikoani ambao wameshafanya usaili kama huu huwa wana uliza maswali gani?
MSAADA WETU TAFADHALI!!!
undugu umetumika sana, hii nchi ya kitu kidogo.
sasa huyo jamaa n eng alafu n afisa mwandikishaji jamani, mmmmhh haya bhana tutafika tu