cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
jamani mwahhhhhhh! Nilikumisijeeeeeee, vp kadogoo hajambo?? Mlete eid acheze na wenzie home kwangu, lolnimepita!
jamani mwahhhhhhh! Nilikumisijeeeeeee, vp kadogoo hajambo?? Mlete eid acheze na wenzie home kwangu, lolnimepita!
unamaanisha mimi au?Tena uje na kale kachalii kako ukapetipeti kama kawaida yako........... Hivi kanakufikishaga mawenzi kweli? Mwezi hoyeeeeeeeeeeeee!!!!
umeona eeee?? Ana balaa huyu acha tu!
Ni kweli tunaonaga mengi sana, basi tu.Lahaulaaaa!!!!!!!Lawata!!!!!!!!!,
Yule alikuwa anaishia mlangoni tu.
Ila Jamani nyie wanaume Mnaonaga mengi duniani humu!!!!!!
Kuta nne zingekuwa na vioo,wallah tena Tusingeangaliana usoni tukutanapo.
Usikose mwaJ ila uje na mtu anayeeleweka, hatutaki magetikrasha, ulinzi umeimarishwa....Ha ha ha hahaaaaaaaa! Thanks babu Asprin. You made my day! Kila ninapotaka ku comment kwenye picha moja, namalizwa na inayofuata! Aa!, liwalo na liwe! waambie wakezo nakuja kula idi hata kama hawajanialika! Ila huko kwenye amri nyingi siji. Lol!
karibu sana mwaJ, tena babu Asprin ana mshkaji wake atakupa akupe company!Ha ha ha hahaaaaaaaa! Thanks babu Asprin. You made my day! Kila ninapotaka ku comment kwenye picha moja, namalizwa na inayofuata! Aa!, liwalo na liwe! waambie wakezo nakuja kula idi hata kama hawajanialika! Ila huko kwenye amri nyingi siji. Lol!
Ni kweli tunaonaga mengi sana, basi tu.
nakwambia akiweza a,b,c hata x,y,z inakuwa mteremko! lolNdo mume wenu tena inabidi mumzoee tu.
Waooooh! Sasa usitinge tena ile hijab yako, pigilia ile makitu nlokununulia Paris
hubby nisubiri twende wote maana mie nikitoka hapa kurudi jumatanoooooooooooooooooooooooooooo
We ukiona maji tu unawaza mafuriko? Kamon booooi!!!
:biggrin1: watu kwa kulazimisha sikukuu...jnne urudi kazini
Anifikishe wapi!!!,
Ndo mana mimi naendaga kwa Ruttashobolwa wangu,Wenyewe tumegandana kama kumbikumbi,
Asubiri talaka tu na mdundiko juuuu!!!!!!!