Monyiaichi
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 1,826
- 508
Sasa huyu Askofu mbona anamwaga Petrol kwenye moto uliowaka...hekima ilikuwa ni kuchagua maneno haswa kipindi hiki kigumu
hivi kuna wanaoruhusiwa kumwaga petrol na wengine hawaruhusiwi? kwa nini wengine waharibu amani na wengine watakiwe kuienzi? kwa hiyo wengine wanafurahia vurugu na mauaji yakifanyika huku wakitarajia upendo na amani kutoka kwa wengine. kwa hiyo kusudi hapa ni kufanya unyama na wengine wafurahie unyama, kwa kuwa tunawajua ni watu wa amani. jitahidini sana na msichoke, kwa kuwa kwa kuwa kikombe mlichokuwa mnamiminia maji sasa kimejaa, hamna rangi mtaacha kuona, alikamatwa osama, itakuwa waigaji?!