Uamsho yaipa serikali masaa 26, vinginevyo...!

Uamsho yaipa serikali masaa 26, vinginevyo...!

TAMKO ATOA AMIR AZZAM -MBUYUNI.

Viongozi wa jumuiya Uamsho.sh Amir Azzan ameipa serikali muda wa masaa 26 mpka kesho sa 10 laasir.Amir Farid awe kishaachiwa.
Ila amewataka wananchi wawe na subra na watunze Amani hadi hapo kesho laasir.
Sh Azzan anasema ccm,Jeshi la polisi na Jeshi la wananchi Tanzania wamehusika kwa habari waliozipata.
Inasemekana walomteka walikuwemo ma jeshi 2 na polisi wa ffu 2 na viongozi wa ccm.
Tunaiman Amir Farid bado yuhai na yupo hapa hapa Zanzibar.
Safari hii mpaka kieleweke.
Waislamu hakuna kurudi nyuma biidhni llah tutampata Amir Farid


source ;fb page ya jumuiya ya uamsho(T)

Tamko la masaa 26 limefanya kazi yake ...Msikilize simba huyo...Sauti | Mzalendo.net
 
duh kweli hawa jamaa wamejitoa Muhanga, lakini nimetoka kuangalia taarifa ya habari sasahivi nikamsikia Dereva wa sheikh Farid akielezea kisa kizima namna ilivyokuwa, hapo ninadoubt kumbe jamaa alikuwa anaongea na simu zen akaenda mwenyewe kupanda kwenye gari linalodaiwa kumteka. na amepanda kanakwamba anawajua waliokuwemo. nina wasiwasi hapa kuna mchezo

Sauti | Mzalendo.net
 
Honestly, hawa sio wahuni, ni magaidi (Terrorists) as defined under the Terrorist Act.

Sijui kama hamjaelewa hili. This is a typical terrorism. Nafahamu kuna watu watanibisha, ila JWTZ hawajawahi kuingilia hili suala ila mpaka wameingilia naamini hali ni tete sana ya usalama.

I hope mambo yatakaa sawa hapo TZ maana hatuamini kama hawa ni terrorists ila hakika nawaambieni Kenge ukimfuga huwa anakuwa mamba. Hawa ni terrorists per se!

I submitt my case!
Sauti | Mzalendo.net
 
naibu kiongozi wa uamsho amesema muda waliowapa serikali kumtafuta unaisha saa 10, kabla ya kutoa tamko nini cha kufanya. my take. serikali muachieni kiongozi sheikh farid, waislam wa miaka ya 60 sio hawa wa leo, wanakumbuka jinsi walivyopotea kina kasim hanga na wengine wengi....
 
huyo mpuuzi tu, unafikiri sisi wajinga atwadanganya mazuzu wenzake hana logic aende akajifunze kwanza kutengeneza movie ndo aje aiweke sokoni, anasema walomteka walijifunga vitambaa, halafu akawatambua ni wabara na wazanzibari si chizi huyu, ni sawa na kusema jibu linaweza kuwa ndio au hapana, mnaomshabikia wote ni manjuka vilaza intelijensia yetu ndogo. michezo ya kipuuzi inapelekea vururgu na mauaji kwa watanzania wenzetu. bakini na magainii wenzenu akina farid na uamsho wao najua hamtaamka NG'OOOOOOOO!
 
Kama nilvyowahi kusema huko nyuma ,Tz inaingia katika maganga ya kujitakia. Serikali iliombwa na watu wenye busara kwamba wakae na Uamsho wafanye mazungumzo na kufikia makubaliano. Sasa ubabe na kukosa busara ndio matokeo yake ndio haya. Sawa na kutikisa mti, majani makavu ,mabichi,machanga yote huanguka. Kama hasara itakuwa kwa wote pamoja na hao viongozi wenye mentality za kidikteta.

Kila kiongozi ana watoto wasiopungua 10, jee wataweza kujilinda wao wenyewe na familia zao ? Je, kila askari polisi atakabidhiwa silaha , kama askari wa Ulaya? Jamani vita vya kiimani ni vita vibaya, tumeyaona kwa macho chonde chonde...Bado muda wa mazungumzo upo.

WHAT IS UAMSHO BY THE WAY?? kWANI HIKI NI CHAMA CHA SIASA? NI WAASI AMBAO WANGEPEWA FURSA YA KUKAA NA SERIKALI KUKUBALIANA MAMBO FULANI? HIVI KILA MTU AKIAMUA KUFANYA VURUGU ANAVYIJISIKIA BASI SERIKALI INALAZIMIKA KUKAA NAE KUZUNGUMZA? WHAT COUNTRY ARE WE BUILDING? HIVI MNADHANI IKIWA HIVI NCHI ITATAWALIKA? ULIA MBALI HAWA WATU, MWALIMU ALIWEZA KUFANYA HAYA ....ALIMALIZA VURUGU KULE ZANZIBAR. WHO ARE THEY AMONG MORE THAN 45m TANZANIANS??

[video]http://www.mzalendo.net/habari/breaking-news-sauti-ya-ust-farid-na-salma-said[/video]
 
haya maandamano na mikwara yote ni sababu ya watu kutokuwa na ajira za uhakika,they are not busy....ndo maana wana muda wa kukimbizana hovyo........kweli rais wetu ni dhaifu,hadi saivi katulia tuliii.hajaongea chochote....tunaelekea wapi?........i wish huu uongozi upinduliwe.......for good.baba wa familia anakuwa na tabia za housegirl bwana...apinduliwe.
 
Mara nyingi Unaweza 'kumtetea Mtu halafu ntu huyo huyo akakuua'.........
 
kwa hiyo serikali imeufyata!!
hii nchi ina usanii kwelikweli.
 
Uamsho wamemaliza shughuli yao sasa wanajipanga tena waje kivingine.Serikali imegwaya hadi ikamwachia shehe
 
Siku zote mbwa hata kama unampenda na kakusaidia kiasi gani akishapata kichaa dawa yake ni kumpiga risasi 2 coz cku 1 ataktng'ata mwenyewe
 
WHAT IS UAMSHO BY THE WAY?? kWANI HIKI NI CHAMA CHA SIASA? NI WAASI AMBAO WANGEPEWA FURSA YA KUKAA NA SERIKALI KUKUBALIANA MAMBO FULANI? HIVI KILA MTU AKIAMUA KUFANYA VURUGU ANAVYIJISIKIA BASI SERIKALI INALAZIMIKA KUKAA NAE KUZUNGUMZA? WHAT COUNTRY ARE WE BUILDING? HIVI MNADHANI IKIWA HIVI NCHI ITATAWALIKA? ULIA MBALI HAWA WATU, MWALIMU ALIWEZA KUFANYA HAYA ....ALIMALIZA VURUGU KULE ZANZIBAR. WHO ARE THEY AMONG MORE THAN 45m TANZANIANS??

[video]http://www.mzalendo.net/habari/breaking-news-sauti-ya-ust-farid-na-salma-said[/video]

you are still living in 60s,70s,80s mind sets...Hata huyo dikteta Nyerere akifufuka leo ,basi ataomba kufa tena. Dunia imebadilika kwahiyo hata TZ lazima ibadilike. Watu wanakufa kwa stress za maisha ,magonjwa ya ajabu ajabu kwahiyo wakipata nafasi ya kufa for something they believe in, they will certainly do it.

Uamsho sio mtu mmoja , na hakuna hata chama kimoja cha siasa chenye wafuasi wengi kuliko Uamsho ndani ya Zanzibar.
 
Pengine vurugu "is the only language you can understand" . Mara waislamu hawakusoma ,mara waislamu wavivu ,waislamu blahh blah... Dharau ina kikomo.

Ni nani anayeyasema hayo? wapi na wakati gani?
 
Back
Top Bottom