Facilitator
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,279
- 1,772
Ile ya Morogoro ndo inayofuata
Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.Hili halina mjadala kwani waliwahi kusema ikiwa kiongozi wao atatoweka na kuuliwa basi hawana sababu ya wao kulipiza kisasi.
Kabla mambo hayajafika mbali tayari Polisi wa FFU ameuliwa huko BUBUBU,hapo inaonyesha wazi ni namna gani wananchi walipofikia.WaZanzibar wanajulikana wazi kwa ukakamavu dhidi ya jeshi la polisi,ikumbukwe kule Pemba polisi kibao waliuliwa kwa kuchinjwa na kitu chenye ncha kali wakati wa 2001,kama sikosei.
Habari zilizo mitandaoni zinasema KUTOKANA NA KUTOWEKA KWA AMIR FARID NA KUPELEKEA WATU KUINGIWA NA HASIRA NYUMBA YA MAKAMO WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZ SEIF ALI IDDY IMEVUNJWA HUKO BUBUBU.
Mapolizi wamekuwa wakiua raia kiholela si huko Zanzibar hata huku Tanganyika wamekuwa na mtindo wa kuuwa wananchi kirahisi ,kesi kibao zinazowahusu polisi kuuwa zimekuwa zikipotea kwenye thin air na hakuna wa kuhoji.
Ingawa Tanganyika bado wamelala wakiruhusu polisi kufanya watakavyo ,Zanzibar sivyo walivyo.
Kikundi cha kihuni lakini wameshatimiza malengo hapo nani mjanja
Yaani huyo askof shao ndo anawaita uamsho wahuni !
Kwanza ajijue yeye baba yake nani
Kuteka nyara watu ndio uungwana ? Kweli mwanaharamu hafichi asili yake
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Why 26? Why not 24?
Alivyotekwa dr, Ulimboko na mateso aliyofanyiwa, wote hapa tulilaani unyama ule . Leo katekwa muislamu bado matusi anatupiwa yule yule victim. Ndio nasema hawa watu hawana imani wala mapenzi na waislamu , kilichobakia waislamu waendelee kudai haki zao mapaka kieleweke. Liwalo na liwe.
dr ulimboka anasimami afya za wagonjwa.huyu gaidi anasimamia nini?
Alivyotekwa dr, Ulimboko na mateso aliyofanyiwa, wote hapa tulilaani unyama ule . Leo katekwa muislamu bado matusi anatupiwa yule yule victim. Ndio nasema hawa watu hawana imani wala mapenzi na waislamu , kilichobakia waislamu waendelee kudai haki zao mapaka kieleweke. Liwalo na liwe.
dr ulimboka anasimami afya za wagonjwa.huyu gaidi anasimamia nini?
suala ni kuthibitisha kama kweli ametekwa na serikali. Ulimboka si kathibitisha hata kwa kumtaja mtu. nyie mnaweza kung'amg'ani kuwa katekwa je, akijitokeza na kusema hakutekwa na serikali mtasemaje? na ni kwa nini serikali imteke isimkamate inaogopa nini?Alivyotekwa dr, Ulimboko na mateso aliyofanyiwa, wote hapa tulilaani unyama ule . Leo katekwa muislamu bado matusi anatupiwa yule yule victim. Ndio nasema hawa watu hawana imani wala mapenzi na waislamu , kilichobakia waislamu waendelee kudai haki zao mapaka kieleweke. Liwalo na liwe.
Alivyotekwa dr, Ulimboko na mateso aliyofanyiwa, wote hapa tulilaani unyama ule . Leo katekwa muislamu bado matusi anatupiwa yule yule victim. Ndio nasema hawa watu hawana imani wala mapenzi na waislamu , kilichobakia waislamu waendelee kudai haki zao mapaka kieleweke. Liwalo na liwe.
Kikundi cha kihuni lakini wameshatimiza malengo hapo nani mjanja