Uamsho yaipa serikali masaa 26, vinginevyo...!

Uamsho yaipa serikali masaa 26, vinginevyo...!

Gaidi kwasababu anataka Zanzibar huru ? Gaidi kwasababu hamuabudu NYERERE ? Gaidi kwasababu havai chain yenye msalaba? Kama gaidi iweje mahakama ya sheria imuachie huru....Au gaidi kwasababu tu, Muislamu?
ni gaidi kwa kuwa anadai hayo anayodai kwa kuchoma makanisa.
 
Lile jamaa lililomteka Dr. Ulimboka nasikia lilikimbilia Unguja? Labda limerudia kale kamchezo chake cha kuteka watu. Uhamsho msisubiri miezi mitatu, choma Zanzibar mpaka kieleweke
 
Kwanini wasimkamate huyu anayeifundisha kazi jinsi ya kufanya kazi. Ningekuwa rais ningekamata kila anayetoa tamko hadi wote waishie lupango ndipo nilete suluhu.

Baba wa wote umenena!
Waliosema ukimchekea nyani utavuna mabua hawakukosea. Tatizo Serikali iliwachekea sana hawa watu. Yaani walikuwa wakikohoa kidogo tu serikali inaufyata! Sasa wasubiri kuvuna mabua!
 
takashi utamficha huyo sheikh hadi lini?

Kama nilvyowahi kusema huko nyuma ,Tz inaingia katika maganga ya kujitakia. Serikali iliombwa na watu wenye busara kwamba wakae na Uamsho wafanye mazungumzo na kufikia makubaliano. Sasa ubabe na kukosa busara ndio matokeo yake ndio haya. Sawa na kutikisa mti, majani makavu ,mabichi,machanga yote huanguka. Kama hasara itakuwa kwa wote pamoja na hao viongozi wenye mentality za kidikteta.

Kila kiongozi ana watoto wasiopungua 10, jee wataweza kujilinda wao wenyewe na familia zao ? Je, kila askari polisi atakabidhiwa silaha , kama askari wa Ulaya? Jamani vita vya kiimani ni vita vibaya, tumeyaona kwa macho chonde chonde...Bado muda wa mazungumzo upo.
 
ni gaidi kwa kuwa anadai hayo anayodai kwa kuchoma makanisa.

Sasa kwanini mahakama ya sheria ilimuachia huru ? AU SERIKALI NDIO ILIYOMTUMA AKACHOME HAYO MAKANISA ?
 
utumwa wa kiarabu ni mbaya kuliko wa kizungu, maana hata waarabu walipo wachukua mababu zetu hapa zanzibar na kuwapeleka uarabuni waliwahasi na kuwafanya mahanithi lakini wazungu hawakuwahathi ndo maana kuna african amerikani, wenzangu wanaoandama mjue kuwa virungun vitaharibu nguvu za kiume zenu, na mkawa mahanithi kama haki amzungumzo yanafaaaaa.
 
Alivyotekwa dr, Ulimboko na mateso aliyofanyiwa, wote hapa tulilaani unyama ule . Leo katekwa muislamu bado matusi anatupiwa yule yule victim. Ndio nasema hawa watu hawana imani wala mapenzi na waislamu , kilichobakia waislamu waendelee kudai haki zao mapaka kieleweke. Liwalo na liwe.

Ni haki gani hizo zidaiwazo kwa vurugu kiasi hiki? Hebu acheni jamani vita si nzuri. Hivi tu hakuna vita watanzania wanataabika kwa ugumu wa maisha, pakiwa na vita je? Watanzania tungekuwa tunatumia muda wetu na nguvu zetu katika kazi na kutafuta elimu kwa kiasi kikubwa kama ambavyo tunatumia katika vurugu tungefika mbali kimaendeleo.
 
suala ni kuthibitisha kama kweli ametekwa na serikali. Ulimboka si kathibitisha hata kwa kumtaja mtu. nyie mnaweza kung'amg'ani kuwa katekwa je, akijitokeza na kusema hakutekwa na serikali mtasemaje? na ni kwa nini serikali imteke isimkamate inaogopa nini?

Kwani serikali ilivyomteka dr,Ulimboka ,ilikua inamuogopa? Ile ni njia moja ya kutumia u-mafya kama vitisho kwa raia. Walijua hawana kesi ya kumpa lakini walitaka kuwaziba midomo Uamsho. Ndugu yangu hii vita ya imani mbaya sana na wala usishangae ukianza kusikia milipuko kila kona Tz. Bia utakunywa nyumbani tena chooni. Mmungu alete kheri inshaallah.
 
JK kazi unayo

JK Hana kazi Mwenye kazi ni atakaemfuata maana kuna Somalia style apa. JK anaweza akawapiga nondo au akapotezea akawapooza Siku zikasogea MUDs wake ukaisha akaacha bomu kwa next hili tutalisahau Kama la ulimboka Wait and see
 
Tuchukue hatua wenyewe kama serikali haitawakamata kina Maalim Seif wanaowasukuma kwa nyuma watu hawa. la sivyo tusijelaumiana baadae
 
Jamani vita vya kiimani ni vita vibaya, tumeyaona kwa macho chonde chonde...Bado muda wa mazungumzo upo.
Hivyo unavyoviita vita vya kiimani ni kati ya imani zipi na vinapiganiwa wapi?
 
Ni haki gani hizo zidaiwazo kwa vurugu kiasi hiki? Hebu acheni jamani vita si nzuri. Hivi tu hakuna vita watanzania wanataabika kwa ugumu wa maisha, pakiwa na vita je? Watanzania tungekuwa tunatumia muda wetu na nguvu zetu katika kazi na kutafuta elimu kwa kiasi kikubwa kama ambavyo tunatumia katika vurugu tungefika mbali kimaendeleo.

Pengine vurugu "is the only language you can understand" . Mara waislamu hawakusoma ,mara waislamu wavivu ,waislamu blahh blah... Dharau ina kikomo.
 
mtavuna mlichopanda October 2010 mliposhangilia viongozi dhaifu kuingia magogoni kwa mara nyingine tena!
 
Najasikia kutukana saaana lakini naogopa Ban kwani naipenda JF. This should be stoped Now. Hii nchi haiwezi kuendeshwa kuini namna hii. Hebu mtu aniambie sasa hivi tunatofauti gani na Somalia?
 
hivi hawa wanaojiita waislamu ni akina nani mbona kama ni kakundi ka watu wachache je ni kweli kuwa jk anawaogopa hawa wasio hata na chembe yeyote ya uvumilivulakini pia ni watu wa namna gani ambao inaonekana ya kuwa sheria za nchi hii ni za kiislamu na wao ndo wenye haki ya kuamua jambo hili litendeke na hili lisitendeke lakini yote haya kaka yetu jk hajasema chochote huyo bwana aliyetoa tamko huko zanzibar nani aliyempatia kiburi cha kutoa kauli kama hiyo mimi nafikiri nchi hii tumekosa kiongozi bali tumejaliwa watawal
 
Back
Top Bottom