Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Sielewi na sijui nitafanyeje ili nielewe.
Ni kwa nini na kwa vipi Jeshi hili hili la Polisi na CCM ambao wamekuwa too readily kuuwa wananchi kwenye mikutano (ya siasa tena ya halali) ya CHADEMA kote nchini wameshindwa kabisa kushughulika na wahalifu wachache. Sielewi mimi.
Ni kwa nini na kwa vipi Jeshi hili hili la Polisi na CCM ambao wamekuwa too readily kuuwa wananchi kwenye mikutano (ya siasa tena ya halali) ya CHADEMA kote nchini wameshindwa kabisa kushughulika na wahalifu wachache. Sielewi mimi.