UAMSHO na sura ya ugaidi

Inashangaza sana kina yakhe kuchulia mambo juu juu na kuyatilia maanani,angalia sasa mnapokea hadi magaidi kisa wa imani yenu,ndg zangu mtaiharibu nchi na kweli imani nyingine ni wajinga au wapole kiasi hicho.BUSARA NDIYO INAYOTUMIKA.
 
juzi tu watu walitoa mada kuhusu huyu jamaa na hizo ishu zilitajwa humu.inakuwaje raia tunapata info lkn TISS hawana?!
 
Inashangaza sana kina yakhe
kuchulia mambo juu juu na kuyatilia maanani,angalia sasa mnapokea hadi
magaidi kisa wa imani yenu,ndg zangu mtaiharibu nchi na kweli imani
nyingine ni wajinga au wapole kiasi hicho.BUSARA NDIYO
INAYOTUMIKA.

jamani tuhangaike na ndg zetu waislam ili wapate elimu.tukilala wajanja watawatumia kuua nchi!
 
Asubuhi ya leo masikio yangu na majicho yameshuhudia jambo ambalo nilikuwa nikiliwaza kitambo juu ya UAMSHO likisemwa kwenye uchambuzi wa magazeti ktk kituo cha televisheni cha ATN.

Baadhi ya magazeti yamenukuu mamlaka za Zanzibar zikitoa ripoti ya awali kuhusiana na kiongozi wa UAMSHO, Sheikh Farid. Kwa mujibu wa magazeti, mamlaka za Zanzibar zimeeleza kuwa Sheikh Farid ni mzaliwa wa Qatar na kwa kipindi fulani hapo nyuma aliwahi kutumikia Jeshi la Nchi hiyo lakini aliondoshwa kutokana na matatizo ya akili.

Zaidi ya hayo, imeelezwa kuwa Sheikh Farid amewahi kuhudhuria mafunzo ya kijeshi katika kambi mbali mbali za kigaidi za Al Qaeda ikiwemo moja ya nchini Yemen. Wazazi wake ni wazaliwa wa Qatar na hata sasa wapo huko ambako imeelezwa yeye (Sheikh Farid) hutembelea mara kwa mara.

Ninachojiuliza mimi juu ya ndugu zetu wa Visiwani walioleta ushabiki kwa mambo yanayoasisiwa na wageni tusiojua nia zao, huku si kuiuza Zanzibar kwa Waarabu? Tangu mwanzo nilimtilia mashaka mtu huyu kuwa anafadhiliwa na waarabu huko Qatar au kwingineko kuleta vurugu na mgawanyiko Zanzibar na azimio lake la kwanza ni kuhakikisha Muungano unavunjika ili iwe rahisi kwa waaarabu kujitwalia Zanzibar.

Haya sasa mliokuwa mkimsapoti na kutumia dini yenu kumsetiri mshukiwa huyu wa ugaidi jitazameni mtasimamia wapi katika hili. Wakati huyu mwenzenu anaanzisha fujo na umwagaji damu, tayari ana makazi ya kumsetiri huko Qatar waliko wazazi wake, je nyie mtakimbilia Mombasa tena?

bora waje kututawala hao waarabu., kuliko nyinyi watanganyika wakoloni weusi.
 
mumewazoea mashekhe ubwabwa huyu mpiganaji wetu faridi hadi mutuwachie wenyewe nyie musosijua. mapambano pale ale mpaka kielewekee
 
hata Dr ulimboka alijiteka , tunajua hii

wana mambo yao ya siri. wanatumiwa hawa.
 
Afrika mashariki walikuwepo 2,faridi na yule mwenzake alieuwawa kenya .....kuna wanafunzi wao wanne wapo uganda wakitokea elitrea...muda wowote watakamatwa watakapo maliza kuwafuatilia kilicho wapeleka uganda...

Faridi si mtu mwema...ametrain watu kutengeneza mabomu kwa kutumia vifaa fulan fulan...

Yanatosha
 
Asubuhi ya leo masikio yangu na majicho yameshuhudia jambo ambalo nilikuwa nikiliwaza kitambo juu ya UAMSHO likisemwa kwenye uchambuzi wa magazeti ktk kituo cha televisheni cha ATN.

Baadhi ya magazeti yamenukuu mamlaka za Zanzibar zikitoa ripoti ya awali kuhusiana na kiongozi wa UAMSHO, Sheikh Farid. Kwa mujibu wa magazeti, mamlaka za Zanzibar zimeeleza kuwa Sheikh Farid ni mzaliwa wa Qatar na kwa kipindi fulani hapo nyuma aliwahi kutumikia Jeshi la Nchi hiyo lakini aliondoshwa kutokana na matatizo ya akili.

Zaidi ya hayo, imeelezwa kuwa Sheikh Farid amewahi kuhudhuria mafunzo ya kijeshi katika kambi mbali mbali za kigaidi za Al Qaeda ikiwemo moja ya nchini Yemen. Wazazi wake ni wazaliwa wa Qatar na hata sasa wapo huko ambako imeelezwa yeye (Sheikh Farid) hutembelea mara kwa mara.

Ninachojiuliza mimi juu ya ndugu zetu wa Visiwani walioleta ushabiki kwa mambo yanayoasisiwa na wageni tusiojua nia zao, huku si kuiuza Zanzibar kwa Waarabu? Tangu mwanzo nilimtilia mashaka mtu huyu kuwa anafadhiliwa na waarabu huko Qatar au kwingineko kuleta vurugu na mgawanyiko Zanzibar na azimio lake la kwanza ni kuhakikisha Muungano unavunjika ili iwe rahisi kwa waaarabu kujitwalia Zanzibar.

Haya sasa mliokuwa mkimsapoti na kutumia dini yenu kumsetiri mshukiwa huyu wa ugaidi jitazameni mtasimamia wapi katika hili. Wakati huyu mwenzenu anaanzisha fujo na umwagaji damu, tayari ana makazi ya kumsetiri huko Qatar waliko wazazi wake, je nyie mtakimbilia Mombasa tena?

Mleta uzi na muandishi wa hii inaonekana hata dar es salaam hawajafika sijui wapo vijiji gani katika nchi ya tanzania. inaonekana hawa baadhi ya waandishi ni wale wale kama yule msomi naibu waziri wa elimu alokurupuka kule south africa tena kwa kujiamini kuongelea suala la nchi asilolifahamu shame on both of you .

kumjaji mtu kwa rangi ama kwa dini yake haya ndo matatizo ya wanasiasa wetu . mleta uzi na muandishi wako mmepotoka wazanzibar wengi wao ni watu waliochanganya damu na wengi wao ni waislam , kuwacha ndevu ni moja ya tabia za waislam sasa kama ni ugaidi basi wazanzibar wengi ni magaidi.

hapa tatizo kila mmoja wetu analijuwa ila kila mmoja analifumbia macho tatizo ni huu MUUNGANO wetu haupo sawa na ni wa kung'ang'aniana ukweli wazanzibar hawaukubali mfumo huu na ukweli utaleta matatizo makubwa tukiendelea kujitia pambani.
 
Ni hatari zaidi iwapo mbwa mwitu wachache waliovaa ngozi ya kondoo watajichanganya na kondoo katika malisho... TISS mpoooo.. najua mpo ndo maana connections zake na Qatar, Yemen na Alqaida zimejulikana... Ninajua kwamba waislamu na wakristo wana kawaida ya kuishi kwa amani siku zote.. panapotokea mikinzano ya waislamu kuwashambulia wakristo kwa mahubiri yasiyo na TIJA kwa Mola na binadamu na hasa katika uchomaji makanisa.. lazima ujue kuna jinamizi limeweka mkono wake... Naomba wasakwe haw ambwa mwitu wote na wawaache waumini wote watimize nguzo MuHIMU ambayo ni upendo kwa binadamu wote.
 
Mi nina shaka na hiyo source - hiyo TV station na hilo gazeti kwetu hatuijui. Ukweli utajulikana kesho mahakamani kama atakuwa amebalilishiwa mashitaka kuwa ya ugaidi ambayo hayadhaminiki. Nadhani hata CIA na FBI wacha TISS wetu watakuwa wanalifanyia kazi maana suala la ugaidi ni la kimataifa (international) na hawawezi kuiachia Zenj peke yake kulishughulikia.
 
Back
Top Bottom