Sisomi muccobs mr acha kujamba jambaNAJUA UNACHUKUA EDUCATION MUCCoBS,NENDA KAPOKEE TAKE HOME 385,000/-,MWENZIO AKACHUKUE 685,000/,ALAFU WEWE NDIYE KICHWA MAJI UNAEKUBALIANA NA KUPATA KAMSHAHARA KIDUCHU
hesabu ipo hivi ukiingia na certoficate police/jwtz,unapewa ukoplo ,mshahara wa ukoplo police ni 300,000/-,take home ni 240,000/- +150,000/- =390,000/,tuje jeshi mshahara koplo ni kama 500,000/- take hom ni kama 400,000/- +300,000/-(posho)= 700,000/-,mwalimu degree 3hamna mzembe wewe then ushahama kule mchamba wima
85,000/-
Nafasi zilitangazwa kwa graduates wa 2012 tu. Nashukuru kwa ushauri na usaili umeanza leo.Kaka mi ni mwalimu mwaka wa 5 diploma hakuna cha kupanda madaraja wala nn?NIMEFUATILIA ISHU YA POLISI KAMA MARA 3 NAKOSA SASA NIMEKATA TAMAA,NAKUOMBA SANA KAKA NENDA UPOLISI UNALIPA KINOMA TOFAUT NA UALIMU MIZINGUO MIZINGUO NENDA POLISI......Ulipateje pateje hyo ishu maana miaka wanasema 25 mwisho?jaman kaka nakuombea kafanye interview mungu akusaidie upate
Nashukuru sana mods kwa kumpiga ban huyu binti samrich haiwezekani uambiwe ukweli uchukiee
Asante mkuu unajua linapokuja swala la kazi sio kukurupuka hivyo nilihitaji kujua na kutoka kwa watu wengine. Wacha nikapambane huko degree itanifaa baadae niwe optimist tu. Ntaamkia kwa mtendaji aniandikie hiyo barua maslahi huku afadhali. Ina maana hata kwa degree kuna uwezekano wa kupangiwa lindo bank na kupiga patrol mitaani?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
unafikiri huko kuhama hama kwenyewe utakuwa unapelekwa mjini tu? raha ya maisha ni kutulia labda kama utaoa/kuolewa na jobless mtakuwa mnahama wote lakini vinginevyo itakubidi umuache mke/mume somewhere c'se hakuna mwajiri anayeweza kukubali hizi karaha za kufuata familia. Pia utawaathiri watoto kielimu kwa kuwahamishahamisha
Kazi mbaya kama unayo.Hata ukienda huko polisi nakuhakikishia hautakaa uridhike. Kutokana na majukumu yanavobana na kukosa uhuru utautamani ualimu tena. Mie naona hiyo tofauti ya mshahara sio kubwa sana...Ni bora ufikirie mara mbili kutafuta kazi/biashara itakayokukomboa.Kaka mi ni mwalimu mwaka wa 5 diploma hakuna cha kupanda madaraja wala nn?NIMEFUATILIA ISHU YA POLISI KAMA MARA 3 NAKOSA SASA NIMEKATA TAMAA,NAKUOMBA SANA KAKA NENDA UPOLISI UNALIPA KINOMA TOFAUT NA UALIMU MIZINGUO MIZINGUO NENDA POLISI......Ulipateje pateje hyo ishu maana miaka wanasema 25 mwisho?jaman kaka nakuombea kafanye interview mungu akusaidie upate
wanaagaliaje kama jogoo anawika?wanaweka demu uchi mnaangalia au?Wanapima urefu,hiv,usiwe na ulemavu,kama ni mwanaume jogoo wanaangalia kama anawika,
wanajinsi wanavyofanya siwezi kukutajia vipi unahofia nin?wanaagaliaje kama jogoo anawika?wanaweka demu uchi mnaangalia au?
wanajinsi wanavyofanya siwezi kukutajia vipi unahofia nin?
sawawa assistant inspeca mtarajiwa lakini miguu **** ina uvunguu kama iko flat haina uvungu wanakutosaaaliwalo na liwe kaa hon pinda. Kitaeleweka mbele ya safari mii najitosa tu.
Sent from my blackberry 9800 using jamiiforums
komaa na fani ya ualimu, polisi ni hatari sana kwa maisha yako.. halafu utakuwa unahamishwa hamishwa kila mara na hivyo ni ngumu sana kujijenga kimaisha na kutulia na familia maana unaweza kupigwa transfer lindi baada ya miaka 2 unapigwa kibondo, mwaka unaofuata unapigwa loliondo, halafu ukiritimba wa huko ni balaa kama humjui mtu kwenye maswala ya kupanda cheo (nyota) na kuthaminiwa
sawawa assistant inspeca mtarajiwa lakini miguu **** ina uvunguu kama iko flat haina uvungu wanakutosaaa