Ualimu vs upolisi ngazi ya degree. Naomba ushauri.

Hayo ni mambo ya kupita tu! kwani kuna wangapi wanaofanya kazi onsite yaani wao leo uko bukoba kwa miezi 12 na wachina katika ujenzi wa barabara za Makufuri kesho kutwa anaenda Zanzibar kwenye mradi mwingine. Cha msingi tu wewe kuweka Base station yako ambapo utakuwa unapaendeleza kwa maisha ya baadaye. kingine kuhamahama si kama zamani coz serikali imeona cost kubwa kumhamisha mtu kwa muda mfupi tu kuna watu tangu nizaliwe yuko paleple mpka leo haohao police.
Police akihamishwa c snalipwa transfer fees? Haitakua na shida mayb ndo ntakuwa naexplore tz zaidi na kujijenga zaidi. Wakiniacha sehemu moja nayo ni nzuri ntaweka strong base hapo.


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
jamani jamani kazi ni kazi inategemea na wewe unaiboreshaje ili ikufae.
to me as mwl kwanza kabisa nimeridhika sana na kazi yangu ni nzuri na namshukuru sana alinipa baraka zake imenipa exposure nzuri sana, na hata leo nikidondosha salary slip yangu waweza kufikir nafanya kazi kama mtu tofauti si mwl kwani zero zake zimesonga sana tu.

tatizo kubwa la waalim wa kitanzania tunafikir ualim ni kufundisha darasan na tuition tu kumbe sio hivyo, unaweza kuuweka kama boya ambapo asbh unaamka unakwenda unapiga mzigo unatoka mchana unapiga kazi nyingine kama kilimo na biashara. maisha ya vijijin waalim wengi ndio wakulima wakubwa tena wenye vipato vizuri na kwa hapa mjini waalim wajanja ndo wano pata vikazi vya kufacilitate so hukai ofsn tena kama ni wa science wewe kila siku uko mikoan unafacilitate na kulamba per diem zao.

ushauri wangu fanya kazi ambayo moyo wako aunaipenda kama wapenda ualim basi fanya na kama wapenda upolis nenda usiwe mtu wa sitak nataka.

mwalimu najaribu kuwaelewesha vijana kuhusu matarajio vs uhalisia wa maisha lakini bado tu hawanielewi.. na mbaya zaidi vijana hawataki kujifunza kwa kutumia mifano halisi ya wakubwa wao na wastaafu wa polisi. Nashangaa sana kuona kijana anafagilia maisha ya kuhamishwa hamishwa kama mmasai
 
Kuhamishwa kaa mmasai sio raha ila kulipwa ndo raha.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
uvungu upo mkuu bt i thot hiyo ni jwtz ndo wanakagua ama?

Sent from my blackberry 9800 using jamiiforums
koteee wana angalia uvungu unajua mtu ambaye mguu wake upo flat hawezi kutembea mwendo mrefu ila maranyingi inatumika jwtz by,major general samiti
 
Mr.kitweleweka ukikosa police usikate tamaa angalia jwtz huko ukiingia na degree unakula nyota 2 ,posho300,000,kama una degree nayo kuna posho ilikuwa 180,000, mpaka hapo ticha mwenye dgree umeshampita salary ulikuwaga kama 800,000 unajua nachelewa kukujibu sabab nachunga n'gombe inakuwa sipati mda wa kujibu hapohapo
 
Asante mkuu samiti jwtz ndo ilikua target ila ndo nafasi kila nikifuatilia mara zimepita mara bado manyokanyoka tu siwaelewi cjui zinapatikana vipi kihalali?


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
asante mkuu samiti jwtz ndo ilikua target ila ndo nafasi kila nikifuatilia mara zimepita mara bado manyokanyoka tu siwaelewi cjui zinapatikana vipi kihalali?


Sent from my blackberry 9800 using jamiiforums
usikate tamaa hata magereza wakitangaza omba maslahi ni mazuri kuliko ualimu wa shule za serikali
 
nawaogopa sana wanaoangalia maslahi bila kupima uwezo wao, weredi na ridhiko la ndani katika kazi wanazozifanya!
kumbuka madhara ya kufanya kazi usiyo ridhika nayo ni kuifanya chini ya kiwango.
nakushauri usiende polisi kwa sababu ya maslahi maana kuna maslahi haramu pia mf rushwa na matumizi mabaya ya mamlaka pamoja na silaha katika kujiongezea kipato,ambayo pia yanaweza kuwa hatari kwako na hivi unahisi umechelewa "kutoka" katika ualimu angalia ndugu yangu huko kwenye upolisi
pia kuwa polisi hakuamaanishi kutakutoa kijijini, ukijiji upo akilini, unaweza ukaletwa mjini bado ukashindwa kuziona fursa na kuzitumia kama umshindwa kuzitumia fursa ulizokuwa nazo huko kijijini!
kila la kheri naamini sisi tunashauri tu mshauri wa mwisho ni nafsi yako
 
nawaogopa sana wanaoangalia maslahi bila kupima uwezo wao, weredi na ridhiko la ndani katika kazi wanazozifanya!
kumbuka madhara ya kufanya kazi usiyo ridhika nayo ni kuifanya chini ya kiwango.
nakushauri usiende polisi kwa sababu ya maslahi maana kuna maslahi haramu pia mf rushwa na matumizi mabaya ya mamlaka pamoja na silaha katika kujiongezea kipato,ambayo pia yanaweza kuwa hatari kwako na hivi unahisi umechelewa "kutoka" katika ualimu angalia ndugu yangu huko kwenye upolisi
pia kuwa polisi hakuamaanishi kutakutoa kijijini, ukijiji upo akilini, unaweza ukaletwa mjini bado ukashindwa kuziona fursa na kuzitumia kama umshindwa kuzitumia fursa ulizokuwa nazo huko kijijini!
kila la kheri naamini sisi tunashauri tu mshauri wa mwisho ni nafsi yako

Mkubwa nimekuelewa kijijini nilijitahidi ila kuna limits zake ambazo binafsi niliona kutoka zaidi ya hapo ni vigumu. By the way ndo ilikua mara ya kwanza kuishi bush kwani std1-7 na f1-6 nimepigia dsm hivyo nilihitaji kuchange mazingira ila to b honest hali ni tete bila umeme na network for all 3yrs nilizokuwa kule b4 kwenda tena xul. I need to get out of that mess.


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Halafu kuna mahali umeandika kuhusu familia...unatambua kua jeshini hawaajiri waliooa au wenye watoto tayari??!
Au ndo umewakana upate ajira??!
 
Kumbuka pia police kuna posho ya nyumba,ujuzi maalum,vitengo vingine kama CID vina posho pia!
 
kama ni hivyo kula kona kaka, nenda tu upolisi

hivi, kwani kila polisi anafanyakazi mjini!? Any way ni maamuzi ya muhusika, tatizo hapa mi naona ni negative atitude iliyojengeka kuwa mwalim hawezi kuendelea eti kipato ni kidogo, hiyo si kweliii!! Unaweza kupiga hatua, inategemea unajishughulishaje! Kumbuka hata walioko BOT na TRA inapoaminika kuna maslahi bora, nao pia wanahangaika kama wewe kupata vyanzo vingine vya pesa!! Kikubwa ni kutobweteka na mshahara, kokote utakuta watu wanalia eti basic salary haitoshi! So its better to be where you will work comfortable and enjoy you job!
 
wewe ni mtindio... mimi nnayekujibu ni mwl wa bachelor,. na mkopo nlikula...unaongea uporoto... au unaushahidi zaidi?....
 
Kuna watu wanataka kutoana roho humu shida ni nini? Si tuko kupeana habari na elimu zaidi kuliko kutukanana hebu tukontrol temper zetu bac.
Msaada zaidi na jee ccp zaidi ya kwata ni kitu gani wanafundisha? Like kutumia silaha? Driving?


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Heshimu hisia zako kaka,raha ya kazi si pesa ni upenzi na kuridhika nayo,ona hii,KILA KOSA MTAANI NI HELA YA POLISI LAKINI KILA KOSA LA MWANAFUNZI MWALIMU ANAUMIA KWA KUTOA ADHABU.
 
lazma ukubali kwamba mwalimu anayeanza kazi mwenye degree anazidiwa mapato na polisi/mwanajeshi mwenye cerificate ,kuwa mpole tubuni mikakati ya kuboresha maslahi yenu

sikukataa suala la kuzidiwa mapato/mshahara+marupurupu... Nlikuwa nakukatalia hiyo figure uliyoing'ang'ania kwamba mwl anapokea... Umeuteka mdahalo mwenyekiti but uko bias kupita maelezo...
 
Back
Top Bottom