Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,542
- 93,146
Subili mwezi wa Ramadhani halafu rudi tena hapa kuuliza hili swali......Sioni uhusiano wa tende na uislam.Tatizo watu wanafikiria kila kitu ni udini, hii imesababishwa na CCM yenyewe
Subili mwezi wa Ramadhani halafu rudi tena hapa kuuliza hili swali......Sioni uhusiano wa tende na uislam.Tatizo watu wanafikiria kila kitu ni udini, hii imesababishwa na CCM yenyewe
Tende zinasaidia kuongeza nguvu za kiumehahaha wameangalia nature ya raisi tulie nae,asante saudia huh!
Atajua wapi huyo! Anajua tu uhusiano wa mbege, kitimoto na ukristo!
kwani tende ni nini?
Ukitaka tende chukuwa lakini magulu panuwa!........
Huo ni msaada kwenda Bakwata na Shura ya maimamu, hakuna mtu makini anayeweza kuintatain vitu vya kijinga kama hivi, ningeomba alieleta thread hii afanye editing haraka sana na aondoe neno kwamba Tanzania tumepewa msaada wa tende na Saudi Arabia!!
Ni chakula bora kwa watu wote ulimwenguni bila kujali itikadi yako.
Wabilah tawfiq!
Aslm alykm.
Tulikuwepo.
Nini umuhimu wa Tende?
Mbona umechanganya mambo? Al bawady na tende wanahusiana nini, waliotoa tende wa Saudi al bawady wa emirate!
Tende ni "symbol" ya urafiki kwa mwaarabu, anakupa tende kuonesha kuwa anakuthamini na anathamini urafiki wako nae. Mwaarabu hampi tende asiye mthamini. Tende kwa miaka, vizazi na vizazi, toka nchi za kiarabu hazijawa na utajiri wa mafuta hicho ndio chakula chao, tunda lao na tende na mtende huwa na thamani kubwa sana kwao.
Ahsante Saudi Arabia kwa hii symbol ya urafiki.