Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Naona wengi mnakulupuka kama mnaofukuzwa kutoka machakani ,sijui Slaa hivi na kule nako CUF wanasema na kupiga makelele kuwa wanaviti 50 vya ubunge na kuteka madiwani angalau wao hawajafika kusema kuing'oa Kikwete team kwenye madaraka ,Chadema ndio mnaovuka mipaka kiasi ya kuwawacha wengi tukiwa hoi.
Kuing'oa CCM sio mchezo wa kujificha ,kama mtatafuta na kupata kwa kuwa tu mikutano inafurika washangiliaji au tuseme wasikilizaji ,nakumbuka CUF miaka ya 2005 na 2000 ,ni kishindo na magari kwa magari yakiongozana na fujo la kuzunguka miji ,walichopata kutoka CCM ni viti sifuri vya ubunge ,mpaka leo hawajakaa sawa.
Nikiona ni jinsi gani WaChadema wanavyojenga matumaini japo sio jambo baya ndivyo haswa inavyotakiwa lakini hadi hii leo sijasikia uhakika wa CHADEMA kutaja maeneo ambayo watachukua viti vya ubunge au udiwani ,tofauti nayo na CUF ambayo imejenga matumaini ya 100% kuwa wanauhakika wa kunyakuwa viti hivyo kwa urahisi tena bila ya tabu yeyote ile ,hebu WaChadema wekeni uhakika mlionao tuone.
Sasa nikiludi kwenye kinyang'anyilo cha uraisi ,kusema kweli mtaanzisha fujo lakini mtazimwa ,na kule Tarime ambako CUF imeweka uhakika wa kutwaa jimbo hilo mmeanza kulusha mawe ,wenzenu Zanzibarwalipiga lisasi za moto leo hii Zanzibar inatwaliwa na CUF kiulaini kabisa. URaisi hauwezi kutoka katika kipindi hiki ,hilo haliwezekani mkitaka msitake ,ni bora mkajipanga upya kwa ajili ya 2015 ,kwani hapo kutakuwa na mtarajiwa wa Uraisi kwa tikeni ya CCM ambae atakuwa ni mpya na itakuwa rahisi kumpiga na chini.
Chadema safari hii mkae mkijua ndio mwisho wenu msipoangalia na ni vyema mkapunguza matumaini katika hizi siku mbili tatu zilizobakia ili kuwalinda wapiga kura wenu wasije wakababaika na hatimae kuwapiga kikumbo ,hayo ni maneno yangu ya akiba.No way to remove ccm on this election ,no way !! Keep your voters on the safe sides and do not destroy them and let them be with you on 2015.
Kuing'oa CCM sio mchezo wa kujificha ,kama mtatafuta na kupata kwa kuwa tu mikutano inafurika washangiliaji au tuseme wasikilizaji ,nakumbuka CUF miaka ya 2005 na 2000 ,ni kishindo na magari kwa magari yakiongozana na fujo la kuzunguka miji ,walichopata kutoka CCM ni viti sifuri vya ubunge ,mpaka leo hawajakaa sawa.
Nikiona ni jinsi gani WaChadema wanavyojenga matumaini japo sio jambo baya ndivyo haswa inavyotakiwa lakini hadi hii leo sijasikia uhakika wa CHADEMA kutaja maeneo ambayo watachukua viti vya ubunge au udiwani ,tofauti nayo na CUF ambayo imejenga matumaini ya 100% kuwa wanauhakika wa kunyakuwa viti hivyo kwa urahisi tena bila ya tabu yeyote ile ,hebu WaChadema wekeni uhakika mlionao tuone.
Sasa nikiludi kwenye kinyang'anyilo cha uraisi ,kusema kweli mtaanzisha fujo lakini mtazimwa ,na kule Tarime ambako CUF imeweka uhakika wa kutwaa jimbo hilo mmeanza kulusha mawe ,wenzenu Zanzibarwalipiga lisasi za moto leo hii Zanzibar inatwaliwa na CUF kiulaini kabisa. URaisi hauwezi kutoka katika kipindi hiki ,hilo haliwezekani mkitaka msitake ,ni bora mkajipanga upya kwa ajili ya 2015 ,kwani hapo kutakuwa na mtarajiwa wa Uraisi kwa tikeni ya CCM ambae atakuwa ni mpya na itakuwa rahisi kumpiga na chini.
Chadema safari hii mkae mkijua ndio mwisho wenu msipoangalia na ni vyema mkapunguza matumaini katika hizi siku mbili tatu zilizobakia ili kuwalinda wapiga kura wenu wasije wakababaika na hatimae kuwapiga kikumbo ,hayo ni maneno yangu ya akiba.No way to remove ccm on this election ,no way !! Keep your voters on the safe sides and do not destroy them and let them be with you on 2015.