Wana JF,
Naomba kuuliza hivi ni kweli TZ kazi zipo au kila hata kidogo kilichopo kinachukuliwa na foreigners kwa sababu wa TZ hatuna uwezo wa kujieleza.
Leo nilipitia baadhi ya sehemu kama 4 DSM, la kushangaza waajiri wengi regardless ni Govt inst. private na sasa hata za waswahili wenzetu wanasema karibu nao uzalendo utawashinda kwa sababu.Ukimleta foreigner hata jirani zetu-wanachapa mzigo kweli kweli kwa mshahara ule ule anaokutaa au kufanya kazi mswahili utafikiri yuko jela.
Lakini la ajabu zaidi hata ukimkuta mswahili -ikifika 10minutes kabla ya muda wa kuondoka -kisha pack kibegi chake na mteja ukiingia ni kama bughuza.
e.g utakuta kampuni ni ya kigeni ,ombi la kazi na matakwa ya kazi yanahitaji ujue lugha fulani-unajibu barua ya kazi kwa kiswahili hapo inakuwaje? Mimi nawaomba waalimu wa vyuo vikuu tusaidie kuwasaidia ndg zetu hata kama uko kwenye engineering ili mradi una uwezo wa kuwasaidia basi usaidie-sio mtu anatoka ni Engineer mzuri lakini hawezi kujieleza ili kuipata hiyo kazi au anaandika kazi kwa mcharazo.
Wataka kazi tutumie computer kuangalia kwenye internet,sasa hivi kazi za human resources,kupika chai,ufundi seremala etc foreigners wamezivamia,sisi tutakwenda wapi tuspijipigania nafsi kwa kusaidiana???
Naomba kuuliza hivi ni kweli TZ kazi zipo au kila hata kidogo kilichopo kinachukuliwa na foreigners kwa sababu wa TZ hatuna uwezo wa kujieleza.
Leo nilipitia baadhi ya sehemu kama 4 DSM, la kushangaza waajiri wengi regardless ni Govt inst. private na sasa hata za waswahili wenzetu wanasema karibu nao uzalendo utawashinda kwa sababu.Ukimleta foreigner hata jirani zetu-wanachapa mzigo kweli kweli kwa mshahara ule ule anaokutaa au kufanya kazi mswahili utafikiri yuko jela.
Lakini la ajabu zaidi hata ukimkuta mswahili -ikifika 10minutes kabla ya muda wa kuondoka -kisha pack kibegi chake na mteja ukiingia ni kama bughuza.
e.g utakuta kampuni ni ya kigeni ,ombi la kazi na matakwa ya kazi yanahitaji ujue lugha fulani-unajibu barua ya kazi kwa kiswahili hapo inakuwaje? Mimi nawaomba waalimu wa vyuo vikuu tusaidie kuwasaidia ndg zetu hata kama uko kwenye engineering ili mradi una uwezo wa kuwasaidia basi usaidie-sio mtu anatoka ni Engineer mzuri lakini hawezi kujieleza ili kuipata hiyo kazi au anaandika kazi kwa mcharazo.
Wataka kazi tutumie computer kuangalia kwenye internet,sasa hivi kazi za human resources,kupika chai,ufundi seremala etc foreigners wamezivamia,sisi tutakwenda wapi tuspijipigania nafsi kwa kusaidiana???