Kwa ajili ya kuelekewa vizuri... soma na hii...:
Mume mwema:
1 Timotheo 5:8 "Lakini mtu yeyote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa,ameikana imani,
tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini"
1 Petro 3:7 "Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili..."