Calvinhood01
Member
- Dec 31, 2020
- 21
- 8
Habarini za saizi wadau, Twitter yangu inasumbua inagoma ku login na bando lipo msaada wenu wadau.
Hata vpn haitakiTumia vpn
Mchawi vpn bossHata mimi ,
zaidi ya wiki mmoja Sasa
Ata mim ndy nimeamua kuachana nayoMimi ya kwangu ina zaidi wiki 3 ama mwezi kabisa niliUpdate lakini shida iko pale pale kulog in inagoma nimeachana nayo.
Shukrani bossVPN Ndiyo Ufumbuzi
Habarini za saizi wadau, tweter yangu inasumbua inagoma ku login na bando lipo msaada wenu wadau.
[emoji23][emoji23][emoji23]