Twin sisters

Twin sisters

gwahe

Senior Member
Joined
Nov 24, 2014
Posts
147
Reaction score
84
Wana MMU.

Naombeni ushauri. Nimekuwa na date na msichana mmoja, for a serious relationship for marriage. Always tukitoka out tunakwenda na pacha wake.

Sasa jana huyo msichana ameniambia, wao ni mapacha na wanapendana sn. Hawawezi kuachana na hata baada ya ndoa, kwa hiyo itatubidi tuishi naye. Pia akasema twin wake anashauri waolewe na mtu mmoja.

Naombeni ushauri, should I go and marry both. Je kuna faida yeyote au madhara yeyote. Je naweza kuacha kuchepuka kama nikioa wote?
 
mathuna wa thulatha wa rubaa...ruksa....lakini dini yako inaruhusu?
Wana MMU.
Naombeni ushauri. Nimekuwa na date na msichana mmoja, for a serious relationship for marriage. Always tukitoka out tunakwenda na pacha wake.

Sasa jana huyo msichana ameniambia, wao ni mapacha na wanapendana sn. Hawawezi kuachana na hata baada ya ndoa, kwa hiyo itatubidi tuishi naye. Pia akasema twin wake anashauri waolewe na mtu mmoja.

Naombeni ushauri, should I go and marry both. Je kuna faida yeyote au madhara yeyote. Je naweza kuacha kuchepuka kama nikioa wote???
 
Wana MMU.
Naombeni ushauri. Nimekuwa na date na msichana mmoja, for a serious relationship for marriage. Always tukitoka out tunakwenda na pacha wake.

Sasa jana huyo msichana ameniambia, wao ni mapacha na wanapendana sn. Hawawezi kuachana na hata baada ya ndoa, kwa hiyo itatubidi tuishi naye. Pia akasema twin wake anashauri waolewe na mtu mmoja.

Naombeni ushauri, should I go and marry both. Je kuna faida yeyote au madhara yeyote. Je naweza kuacha kuchepuka kama nikioa wote???

Zari hiloooooo, piga 3 some moja matata sana..kuna mshkaji.mmoja nae kao twins anawatafuna kama kawa.
 
Mapacha wa kufanana au hawafanani?? Kama wa kufanana, HAPANA. Sababu hapa, hupati kipya zaidi ya idadi ya namba kuongezeka ktk threesome, taste itakuwa ni ile ile kwa wote!
Kama hawafanani, na wewe imani yako inaruhusu na una uhakika utakidhi mahitaji yao, sioni tatizo!
 
Jamani.
Wana miaka mingapi?na wewe una miaka mingapi?
 
Mapacha wa kufanana au hawafanani?? Kama wa kufanana, HAPANA. Sababu hapa, hupati kipya zaidi ya idadi ya namba kuongezeka ktk threesome, taste itakuwa ni ile ile kwa wote!
Kama hawafanani, na wewe imani yako inaruhusu na una uhakika utakidhi mahitaji yao, sioni tatizo!

Kila mtu ana utamu wake, na skills zake. Jamaa atafune tu, kwani sh ngapi……

ila kwenye kuoa itakuwa ni ishu kama familia ya binti itapitisha hii
 
Back
Top Bottom