Tweet ya Nape inamlenga nani anaekurupuka mipango

Tweet ya Nape inamlenga nani anaekurupuka mipango

Ametudhalilisha sana na anatakiwa atuombe radhi

Makonda Sio Mtu wa mchezo mchezo

Anne Kilango alifukuzwa Kwa Kosa la kukosea orodha ya Wafanyakazi hewa laki Huyu mpaka Sasa anapeta tu
 
Makonda Sio Mtu wa mchezo mchezo

Anne Kilango alifukuzwa Kwa Kosa la kukosea orodha ya Wafanyakazi hewa laki Huyu mpaka Sasa anapeta tu
Hata kitwanga alikuwa anjiamini hivyo
 
Unauliza hilo swali ukiwa hujui azingumziwaye au?
 
Makonda kwa muda mfupi amekuwa kiongozi lkn tayari ameacha alama za kutosha . Hata kama humpendi bado utaitumia wodi ya mama na mtoto pale mwananyamala,

Bado utayatumia magari ya polisi

Bado utazitumia shule zinazojengwa .

Nape wewe ni kiongozi wa muda mrefu kuliko Makonda lkn utakumbukwa kwa lipi??
Ni jengo gani uliloacha??

Chadema ni wapingaji wakubwa lkn ndiyo wa kwanza kusogeza pua zao kwenye huduma za Makonda.
Nape hayupo CHADEMA!
 
Makonda kwa muda mfupi amekuwa kiongozi lkn tayari ameacha alama za kutosha . Hata kama humpendi bado utaitumia wodi ya mama na mtoto pale mwananyamala,

Bado utayatumia magari ya polisi

Bado utazitumia shule zinazojengwa .

Nape wewe ni kiongozi wa muda mrefu kuliko Makonda lkn utakumbukwa kwa lipi??
Ni jengo gani uliloacha??

Chadema ni wapingaji wakubwa lkn ndiyo wa kwanza kusogeza pua zao kwenye huduma za Makonda.

Kumweka Jiwe madarakani kwa goli la mkono, magari ya polisi yanatumiwa na polisi na wahalifu katika jamii ni sehemu ndogo ndio wahalifu zaidi polisi katika nchi zetu wanalinda viongozi zaidii kuliko raia wema kwa hiyo Nape anayo laana ya goli la mkono na kuzuia bunge live.

Maendeleo msiyapime kwa vitu jamani nyie wanaCCM wa jiwe ebu jiongezeni, wajibu wa serikali ni kujenga shule, hospital na jeshi la polisi kwa hiyo mtu kukarabati gari za polisi ndio kazi aliyochaguliwa kufanya hakuna mapenzi wala nini.
 
Back
Top Bottom