Addis Ababas
JF-Expert Member
- Aug 5, 2018
- 351
- 353
N kwa sababu anapelekewa hela, mipango inatimia na kutekelezeka... Hela za hospital anapewa, bara2 anapewa, maji anamwagiwa nk. Kifupi anaungwa mkono na mkuu. Kama kweli n mchapa kazi, aenda Mara ambako hela haziendi, na miradi badala ya kutekelezwa inahamishwa ... Tutaona atafanya nn!