Tweet ya Nape inamlenga nani anaekurupuka mipango

Tweet ya Nape inamlenga nani anaekurupuka mipango

leodigardcyrilo

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2015
Posts
3,439
Reaction score
1,850
Mtama
Screenshot_2018-09-09-17-12-13.jpg
 
Makonda kwa muda mfupi amekuwa kiongozi lkn tayari ameacha alama za kutosha . Hata kama humpendi bado utaitumia wodi ya mama na mtoto pale mwananyamala,

Bado utayatumia magari ya polisi

Bado utazitumia shule zinazojengwa .

Nape wewe ni kiongozi wa muda mrefu kuliko Makonda lkn utakumbukwa kwa lipi??
Ni jengo gani uliloacha??

Chadema ni wapingaji wakubwa lkn ndiyo wa kwanza kusogeza pua zao kwenye huduma za Makonda.
 
Makonda kwa muda mfupi amekuwa kiongozi lkn tayari ameacha alama za kutosha . Hata kama humpendi bado utaitumia wodi ya mama na mtoto pale mwananyamala,

Bado utayatumia magari ya polisi

Bado utazitumia shule zinazojengwa .

Nape wewe ni kiongozi wa muda mrefu kuliko Makonda lkn utakumbukwa kwa lipi??
Ni jengo gani uliloacha??

Chadema ni wapingaji wakubwa lkn ndiyo wa kwanza kusogeza pua zao kwenye huduma za Makonda.
Sometimes Kuna vitu Kama hujui ungeuliza ... Aliekwambia wodi ya mama na mtoto ni mpango wa makonda ni Nani ... Na kwa Nini ...

Kwa kujipakazia Sasa ... Ndio maana Mtama kampiga bao ... Kwa makelele
 
Makonda kwa muda mfupi amekuwa kiongozi lkn tayari ameacha alama za kutosha . Hata kama humpendi bado utaitumia wodi ya mama na mtoto pale mwananyamala,

Bado utayatumia magari ya polisi

Bado utazitumia shule zinazojengwa .

Nape wewe ni kiongozi wa muda mrefu kuliko Makonda lkn utakumbukwa kwa lipi??
Ni jengo gani uliloacha??

Chadema ni wapingaji wakubwa lkn ndiyo wa kwanza kusogeza pua zao kwenye huduma za Makonda.
Jiulize kwanini chama Tawala kinanunua madiwani na wenyeviti wa vijiji?
 
Makonda kwa muda mfupi amekuwa kiongozi lkn tayari ameacha alama za kutosha . Hata kama humpendi bado utaitumia wodi ya mama na mtoto pale mwananyamala,

Bado utayatumia magari ya polisi

Bado utazitumia shule zinazojengwa .

Nape wewe ni kiongozi wa muda mrefu kuliko Makonda lkn utakumbukwa kwa lipi??
Ni jengo gani uliloacha??

Chadema ni wapingaji wakubwa lkn ndiyo wa kwanza kusogeza pua zao kwenye huduma za Makonda.
Kwani asingefanya hayo yote ulitegemea awe kafanya nini ? Si ni wajibu wake ? Kwa nini watu waone kawafanyia hisani ? Walipita hapa kina mzee Makamba, hayati Abbas Kandoro ...nao walifanya yao !
 
Back
Top Bottom