Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Jirani aliibiwa simu miezi miwili nyuma nikiwa kazini, akasema wote waliokuwepo muda huo waende kwa mganga wa kienyeji mwenye Tv asilia ili wamuone mwizi wa simu. Huko walinyweshwa maji ya dawa yaliyochanganywa na damu mbichi. Tangu wakati huo afya yake imedorora sana, ameota vinyweleo vingi mwilini. Ana ndevu za sharafa na mustach, garden lavu pia limeshamiri kifuani. Kuweweseka hakumuishi usiku, raha hana. Je nimsaidiaje? Mimi ni mtafiti wa gas hivyo muda mwingi nakuwa site.