Martyr 360
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 433
- 662
Chukua tcl kama huna watoto wadogo nyumban ,kingine viyoo vya flat vina miaka ya kuishi vingi miaka Saba sasa ukichukuwa used anything can happen
Mkuu hebu nielekeze hilo duka la tv used lipo wapi?Nataka tvAsanteni wadau wote. Unajua sometimes ni bora uoneshe ujinga wako, utasaidiwa kuliko kujidai unajua.
Mmenisaidia sana.
TCL mzee badae uje unishukuruIpi ni smart TV nzuri , hisense, LG, Samsung au Sony. Naomba msaada wa mawazo kwa wajuzi wa hivi vifaa.