Tv imaan yapata kibali rasmi

Tv imaan yapata kibali rasmi

Status
Not open for further replies.

ugasa

Senior Member
Joined
Oct 21, 2013
Posts
193
Reaction score
52
Tv imaan yapata kibali rasmi. Tv hii inaendeshwa na islamic foundation.
Licha ya islamic foundation kumiliki tv. Pia ina redio na shule za sekondari.lakini inamiliki zahanti nyingi hapa nchini zinazosaidia waislam na wasiokuwa waislam
pia ni taasisi iliokaribu sana na chuo kikuu cha waislam morogoro ambapo mwenyekiti wa islamic foundation ndie mshauri mkuu wa fedha chuoni.
 
Tv imaan yapata kibali rasmi. Tv hii inaendeshwa na islamic foundation.
Licha ya islamic foundation kumiliki tv. Pia ina redio na shule za sekondari.lakini inamiliki zahanti nyingi hapa nchini zinazosaidia waislam na wasiokuwa waislam
pia ni taasisi iliokaribu sana na chuo kikuu cha waislam morogoro ambapo mwenyekiti wa islamic foundation ndie mshauri mkuu wa fedha chuoni.

Ayaaah kipofu kaona yani hawa jamaa wakipata tv hutalala tena kiongozi awe illunga au basaleh
 
Ninachokiona humu kwenye jf ni ukiristo na ukiristo na ukiristo. Suala lolote linalohusu wafuasi wa dini ya kweli, dini ya Mjumbe wa Allah (SWT) ambae ni Mtume Muhammad (SAW), hupigwa vita vya hali ya juu. Hamuna uvumilivu. Why ????
 
Ninachokiona humu kwenye jf ni ukiristo na ukiristo na ukiristo. Suala lolote linalohusu wafuasi wa dini ya kweli, dini ya Mjumbe wa Allah (SWT) ambae ni Mtume Muhammad (SAW), hupigwa vita vya hali ya juu. Hamuna uvumilivu. Why ????
hata zitto na arfi wanapigwa vita ndani ya chadema kwa sababu ni waislam tu. WANGALIKUWA WAKIRISTO unadhani makanisa yangalikuwa yafanya vikao vya siri kuwaunganisha. Wakiristo wamejiapanga kila kona
 
Una siri kubwa na waislam kwani una chuki sana au ulitoroshwa na mwislam
Nawachukia kwa sababu ni chanzo cha kukosekana kwa amani hapa duniani. Dunia ingekuwa mahali salama Sana pa kuishi Kama pasingekuwepo Waislam na Uislam.
 
Nilikuwa na rafiki mkiristo. kwa bahati nzuri yeye anannyumba 10,Mimi ninanyumba 1, siku alipoina nyumba yangu aliingia chuki. akadai yaani muislam unanyumba?
Waislam mna matatizo makubwa Sana. Jiangalieni kwenye kioo mtamuona anayewaletea matatizo.
 
KIPOFU KAONA MWEZ IMEKUWA KERO.
Sasa na sis tukisema tv-, radio,vyuo, sekondari, kitabaki nn kwenu.

nashukuru 2015 rais co gaidi tutapumua kdgo,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom