Wadau,
Wa Tanzania wengi tunaumia sana na hizi TV za kulipia,Mwanzo kulikua na TV Burudani ofisi zake ziliku Maarifa House Mtaa wa Ohio, Wametokomea na hela za watu wametuachia ving'amuzi vyao.
Ikaja GTV wao walikua pale Namanga watanzania wengi walinunua Ving'amuzi na Ma-dish nao wametokomea.
Sasa hivi kuna Easy TV na Startimes Digital TV. Sasa je tutaliwa tena? kwa kisingizio cha World Cup south Africa?
Serekali kupitia wizara husika haina jinsi ya kuzuia hili.
Nawasilisha.
Wa Tanzania wengi tunaumia sana na hizi TV za kulipia,Mwanzo kulikua na TV Burudani ofisi zake ziliku Maarifa House Mtaa wa Ohio, Wametokomea na hela za watu wametuachia ving'amuzi vyao.
Ikaja GTV wao walikua pale Namanga watanzania wengi walinunua Ving'amuzi na Ma-dish nao wametokomea.
Sasa hivi kuna Easy TV na Startimes Digital TV. Sasa je tutaliwa tena? kwa kisingizio cha World Cup south Africa?
Serekali kupitia wizara husika haina jinsi ya kuzuia hili.
Nawasilisha.