TV 1 MNAKERA...

TV 1 MNAKERA...

dafity

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2008
Posts
1,881
Reaction score
2,091
Hivi hamna ratiba ya vipindi? Kila wakati mnaweka hilo Li chaneli KFS kwani hamna vipindi vyenu?

Mnarudia mavipindi hovyo hovyo tu mtakavyo ninyi. Mjue nasi watazamaji tuna Haki zetu. Nawaangalia ninyi kwa sababu mna picture quality bora kuzidi TV zote hapa TZ ila mnakera hamna vipindi vinavyovutia wala mpangilio mzuri.
 
Hivi hamna ratiba ya vipindi? Kila wakati mnaweka hilo Li chaneli KFS kwani hamna vipindi vyenu?

Mnarudia mavipindi hovyo hovyo tu mtakavyo ninyi. Mjue nasi watazamaji tuna Haki zetu. Nawaangalia ninyi kwa sababu mna picture quality bora kuzidi TV zote hapa TZ ila mnakera hamna vipindi vinavyovutia wala mpangilio mzuri.
Loooooh[emoji12] umelazimishwa? TVE huoni hadi ukatizame channel za ajabu, stress zingine mnajitakia tu
 
Hivi hamna ratiba ya vipindi? Kila wakati mnaweka hilo Li chaneli KFS kwani hamna vipindi vyenu?

Mnarudia mavipindi hovyo hovyo tu mtakavyo ninyi. Mjue nasi watazamaji tuna Haki zetu. Nawaangalia ninyi kwa sababu mna picture quality bora kuzidi TV zote hapa TZ ila mnakera hamna vipindi vinavyovutia wala mpangilio mzuri.
Loooooh[emoji12] umelazimishwa? TVE huoni hadi ukatizame channel za ajabu, stress zingine mnajitakia tu
 
Hivi hamna ratiba ya vipindi? Kila wakati mnaweka hilo Li chaneli KFS kwani hamna vipindi vyenu?

Mnarudia mavipindi hovyo hovyo tu mtakavyo ninyi. Mjue nasi watazamaji tuna Haki zetu. Nawaangalia ninyi kwa sababu mna picture quality bora kuzidi TV zote hapa TZ ila mnakera hamna vipindi vinavyovutia wala mpangilio mzuri.
Yaani we Acha tu mi mwenyewe nimekaa hapa nasubiri hakuna shame on them
 
Ukiona hivyo kifurushi kimeisha sasa ndo zimebaki hizo free channel km tv1,TBC na Tabibu anafosi vipindi vizuri
 
Loooooh[emoji12] umelazimishwa? TVE huoni hadi ukatizame channel za ajabu, stress zingine mnajitakia tu
wewe ndo kilaza kabisa tv e inaonyesha mziki masaa 24 unafaidika nini na hyo miziki
 
Mkuu kweli wanakera na wanaboa Tunawatolea Uvivu tuu.....[emoji34] [emoji35]
 
Hivi hamna ratiba ya vipindi? Kila wakati mnaweka hilo Li chaneli KFS kwani hamna vipindi vyenu?

Mnarudia mavipindi hovyo hovyo tu mtakavyo ninyi. Mjue nasi watazamaji tuna Haki zetu. Nawaangalia ninyi kwa sababu mna picture quality bora kuzidi TV zote hapa TZ ila mnakera hamna vipindi vinavyovutia wala mpangilio mzuri.
Sifia kwanza.. then ponda..maliza hwa kusifia..[emoji12]
 
Umahiri wao unapotea ni vizuri kuwakumbusha. Kweli wana vipindi vizuri ila hivi karibuni wanaweka hii KFS ambayo inabowa vibaya sana.
 
Wanakera kweli TV1 Lakin lipia king'amuzi chako upate channel nyingine nying
 
Hivi hamna ratiba ya vipindi? Kila wakati mnaweka hilo Li chaneli KFS kwani hamna vipindi vyenu?

Mnarudia mavipindi hovyo hovyo tu mtakavyo ninyi. Mjue nasi watazamaji tuna Haki zetu. Nawaangalia ninyi kwa sababu mna picture quality bora kuzidi TV zote hapa TZ ila mnakera hamna vipindi vinavyovutia wala mpangilio mzuri.
Nilijua nakereka mwenyewe kumbe wengi wanaboa kichizi yan
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom