Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 4,046
- 3,049
Labda tuzo za al shabab na za waasi wa sudan kusini, na za Boko haram
kwani wana matatizo gani ?Isije ikawa wale waliompa tuzo EL ndo leo wanataka mpa Lema?
Mkuu mimi naitwa Erythrocyte , siitwi Mwanyamaki .Mwanyamaki, ubunge umekushinda Kyela, ukadanganya kwenda mahakamani lkn umeishia kudanganya basi acha uongo
ufafanuzi kidogo mkuu ......
...... zinapigwa Kamanda atashinda
hizo ndio zikoje ?Labda tuzo za al shabab na za waasi wa sudan kusini, na za Boko haram
Jiulize then ujijibuhizo ndio zikoje ?
Watu waliamua kuandamana kwani lema aliwafunga minyoror? Kupigwa kwao risasi ni aibu ya serikali iliyopo madarakani, unamuua mtu alieamua kutembea mwenyewe barabarani? si ujuha huu.Lema huyu huyu aliechochea watu waandamane wakapigwa risasi
Mahaba haswa, mpka wazee wazima wanapigia makofi na vigelegele fyokofyoko unadhani mahaba mchezoWatu wana mahaba
Mshahara wa dhambi ya dharau ni mauti .kua nje ya jf hata masaa mawili unakosa haki nyingi sana za msingi ikiwamo kucheka sana,japo sikuchelewa sana nacheka kidogo teh teh teh teh,dunia hii ni zaid ya furaha yaani lema huyuhuyu anatambulika kimataifa jaman!!
Tuzo za kimataifa mimi mtu wa Tandika Mwembeyanga ntazitolea wapi ? hizo tuzo wanatoa wazungu mjomba .Hizo tuzo labda umpe weye
mcubic habari za kigoma ?Watu wana mahaba
Hahahaaaa salama, japo kigoma sijawah kufika madammcubic habari za kigoma ?