Tuzo za kimataifa zamnyemelea Godbless Lema

Tuzo za kimataifa zamnyemelea Godbless Lema

Lema ni kijana shupavu, jasiri na mpenda haki kwa Tanzania watu kama hawa huonekana maadui kwa kuwa tu wanazuia dhuluma kwa wanyonge na mabepari hawalipendi hili, mapepari ya ccm wanamkubali sana ila wanaogopa kuitwa magamba kwa kumpa sapoti Lema, hakika sijawahi kujutia kumpa kura yangu shujaa wa taifa hili Mh. Gobless Lema. Mungu akulinde na kukubariki Arusha tunatembea kifua mbele kwa kuwa na wewe kama mbunge wetu.
 
Hii ni baada ya ujumbe wake alioutoa bungeni alipokuwa akitoa mchango wake wa kile kinachoitwa mpango wa Taifa wa maendeleo kuvuka mipaka na kutua nchi za nje.

Ikumbukwe kwamba dunia imekuwa ikitumia nguvu kubwa sana katika kutatua migogoro hasa ya Africa inayosababishwa na misuguano ya kisiasa, sasa anapotokea mtu mwenye maono ya utatuzi usio na gharama ya pesa ama umwagaji wa damu basi ni lazima Jumuiya na Taasisi kubwa za kimataifa zitambue mchango wake.

Zipo taarifa zinazoelea duniani zinazodokeza uwezekano wa Mh Lema kupewa Tuzo ya Amani hasa baada ya Taasisi hizo kuguswa na mchango wake alioutoa bungeni.

Taarifa zaidi zinatanabaisha kwamba kushindwa kwa watu mashuhuli na hasa wale wenye ushawishi katika nchi hii kulizungumzia kwa uwazi na ukweli suala la Zanzibar kumewashangaza wazungu wengi!

Kuibuka kwa kijana mdogo sana Mh Lema ambaye dunia iliaminishwa kwamba ni mtu wa fujo na vurugu kulisemea bila kumung'unya maneno suala zito la dhuluma ya Zanzibar tena katika lugha ya kushawishi amani kumewashangaza zaidi wazungu .

Kila la heri Mh Lema, Mwenyezi Mungu ambaye amekuwa tegemeo lako kuu akuongoze katika mkakati wako wa kupigania amani ya nchi yako.
Mh Lema nenda kachukue tuzo yako mwezi ujao , hii ni baada ya jabali la siasa za Zanzibar Maalim Seif kuambatanisha clip yako ICC ili kuionyesha juhudi zilizofanyika katika kutatua mgogoro huu kabla mambo hayajawa mabaya kama yalivyo sasa , Mungu aendelee kukupa maono .
 
Lema ni kijana shupavu, jasiri na mpenda haki kwa Tanzania watu kama hawa huonekana maadui kwa kuwa tu wanazuia dhuluma kwa wanyonge na mabepari hawalipendi hili, mapepari ya ccm wanamkubali sana ila wanaogopa kuitwa magamba kwa kumpa sapoti Lema, hakika sijawahi kujutia kumpa kura yangu shujaa wa taifa hili Mh. Gobless Lema. Mungu akulinde na kukubariki Arusha tunatembea kifua mbele kwa kuwa na wewe kama mbunge wetu.
CCM imemtuma Mrisho gambo akapambane na Lema , je ataweza ?
 
CCM imemtuma Mrisho gambo akapambane na Lema , je ataweza ?
Alishindwa Magesa alieanza kunyoa kwa chupa, huyu mrisho wala hataweza hata kumnyima usingizi diwani wa chadema kwenye kata anayoishi yeye achilia mbali Lema.
 
Alishindwa Magesa alieanza kunyoa kwa chupa, huyu mrisho wala hataweza hata kumnyima usingizi diwani wa chadema kwenye kata anayoishi yeye achilia mbali Lema.
Eti kigezo ni yale matusi ya mwanasheria kule korogwe ! Poor ccm !
 
Eti kigezo ni yale matusi ya mwanasheria kule korogwe ! Poor ccm !
Mkuu hii nchi ina vituko sana yale matusi yalimfukuzisha kazi Gambo akasota benchi kidogo akaibukia Kinondoni eti anataka ubunge wa kinondoni ashindane na Iddi Azan, hiki kilikuwa kituko cha mwaka aliposhindwa kura za maoni akakurupuka eti RUSHWA ndio imesababisha akakosa kweli hata hajitathmini kabisa huyu kijana, baada ya kulialia ndipo akarudishwa kwenye UDC huko kigoma na hii ilikuwa kwa hisani ya Ridhiwa maana wakiwa Arusha kwenye UVCCM hawa ndio walikuwa wanoko, wambea wa Ridhiwan. Hii kwazi yake hajaipata kwa style tofauti na Makonda ila kichwani hamna kitu. Arusha hii anaijua na ilimshinda anajishaua tu Magu amuone ila moyoni anajua hapa anaoga na mchanga.
 
Mkuu hii nchi ina vituko sana yale matusi yalimfukuzisha kazi Gambo akasota benchi kidogo akaibukia Kinondoni eti anataka ubunge wa kinondoni ashindane na Iddi Azan, hiki kilikuwa kituko cha mwaka aliposhindwa kura za maoni akakurupuka eti RUSHWA ndio imesababisha akakosa kweli hata hajitathmini kabisa huyu kijana, baada ya kulialia ndipo akarudishwa kwenye UDC huko kigoma na hii ilikuwa kwa hisani ya Ridhiwa maana wakiwa Arusha kwenye UVCCM hawa ndio walikuwa wanoko, wambea wa Ridhiwan. Hii kwazi yake hajaipata kwa style tofauti na Makonda ila kichwani hamna kitu. Arusha hii anaijua na ilimshinda anajishaua tu Magu amuone ila moyoni anajua hapa anaoga na mchanga.
Si unaona hata yule aliyemtandika mtama Warioba .
 
Lema ni mbunge sana makini nadhani hata CCM wenyewe wanamkubali tuzo anahistahili kwa busara na hekima zake michango yake bungeni itakumbuka sana kwa aliongea mambo yenye faida kwa taifa .
 
Back
Top Bottom