twahil
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 4,100
- 2,796
Tuzo za sikuhizi bana usishangae akapata...hukusikia luwasa alipata naye tuzo?Haya sasa matusi kwa wagawaji wa hizo tuzo.
Tuzo za sikuhizi bana usishangae akapata...hukusikia luwasa alipata naye tuzo?Haya sasa matusi kwa wagawaji wa hizo tuzo.
Mbona hukupigwa wewe risasi,walihamasishwa na lema wakateke kituo cha polisi watoe magaidi wenzenu ila nyumbu mkikaririshwa hambadiliki hadi kiamaWatu waliamua kuandamana kwani lema aliwafunga minyoror? Kupigwa kwao risasi ni aibu ya serikali iliyopo madarakani, unamuua mtu alieamua kutembea mwenyewe barabarani? si ujuha huu.
Labda kama ni tuzo za wanywa virobaWakati mwingine tuwe serious hivi Lema ni wa kumpa tuzo sijui lakini labda hizi tuzo zinatoka Unga Limited au Sanya Juu.
unga limited kivipi wakati umeambiwa zitatoka nje ya nchi ? acheni dharau jamani mtakuja kuumbuka .Wakati mwingine tuwe serious hivi Lema ni wa kumpa tuzo sijui lakini labda hizi tuzo zinatoka Unga Limited au Sanya Juu.
hizo zitakua kutoka Goma DRCunga limited kivipi wakati umeambiwa zitatoka nje ya nchi ? acheni dharau jamani mtakuja kuumbuka .
wee jamaa mbona una chuki mbaya sana na mkombozi lema ? umezoea utumwa ?Mbona hukupigwa wewe risasi,walihamasishwa na lema wakateke kituo cha polisi watoe magaidi wenzenu ila nyumbu mkikaririshwa hambadiliki hadi kiama
Kama lema unamwita mkombozi nyerere na wenzie tutawaitaje,usiwe kama lofa na mpumbavu nchi imeshakombolewa,lema ni tapeli tuwee jamaa mbona una chuki mbaya sana na mkombozi lema ? umezoea utumwa ?
na kwa dhambi hii uliyoifanya wewe ndo utatangulia yaani jumuia za kimataifa zimjadili lemaa?hata wavutanangi wenzake hawajawahi kumpa hata biskut kama zawadiMshahara wa dhambi ya dharau ni mauti .
Haya sasa mwingine huyu , sijui umekurupuka kutoka wapi ?na kwa dhambi hii uliyoifanya wewe ndo utatangulia yaani jumuia za kimataifa zimjadili lemaa?hata wavutanangi wenzake hawajawahi kumpa hata biskut kama zawadi
nimetokea unga limited kuvuta bangi na mheshimiwaHaya sasa mwingine huyu , sijui umekurupuka kutoka wapi ?
Mimi huwa nakonda nikiwa site hakuna mtandao huwa napamis sana hapa soon patakuwa kijiwen nishapazoeakua nje ya jf hata masaa mawili unakosa haki nyingi sana za msingi ikiwamo kucheka sana,japo sikuchelewa sana nacheka kidogo teh teh teh teh,dunia hii ni zaid ya furaha yaani lema huyuhuyu anatambulika kimataifa jaman!!
Kwani uliambiwa waliokuwepo kwenye maandamano wote walipigwa risasi? Hata mie nilikuwepo ila sikuwa mmoja wa marehemu na ninajivunia sana kumchagua kamanda Lema, mlimleta Batilda tukajua hawezi kutuongoza mkampeleka ubalozini mbona nako katupwa tena kama kweli ni mtu sahihi? Huko uliko kikitokea kifo huwa mnakufa wote eeee? Akili za kushikiwa hata tabia za nyumbu huzifahamu ilimradi tu nawe umekariri.Mbona hukupigwa wewe risasi,walihamasishwa na lema wakateke kituo cha polisi watoe magaidi wenzenu ila nyumbu mkikaririshwa hambadiliki hadi kiama
Mungu akubariki sana .Lema mtu makinmi sana acha apewe2
haki yake...kumbe watu wanaona
amen......Mungu akubariki sana .
Lema ni shujaa , aliyoyasema ndio yanayotokea , nchi inapiga miayo na tetesi zinadokeza kwamba zanzibar watalii wamekauka .amen......
barikiwa pia
yani nabado axeeeeeLema ni shujaa , aliyoyasema ndio yanayotokea , nchi inapiga miayo na tetesi zinadokeza kwamba zanzibar watalii wamekauka .