MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Awamu ya nne ndiyo hiyo imeisha. Katika michezo(inabidi nitumie mfano huu) kila msimu ukiisha kuna tuzo mbali mbali wattu hupewa. Saa nyingine pia hata wale waliyo fanya vibaya wana kuwa na tuzo za ubaya. Je kwa awamu hii ya nne nani...
Most Valuable Player(MVP)- Mtu ambae amekua outstanding awamu hii na amefanya mengi mazuri.
Least Valuable Player(LVP)- Kiongozi aliye fanya ovyo kuliko wote.
Rookie- Mwanasiasa chipukizi au wa mara ya kwanza(awe mzee au kijana) ambae ame nga'ra na kuonyesha matumaini makubwa kwa Watanzania.
Most Improved- Mwanasiasa ambae amekuwepo kwa muda na kaonyesha kukua na kukomaa zaidi kisiasa.
Least Improved. Ambae ame dorora na kufanya vibaya zaidi
Biggest dissapointment- Huyu awe mtu ambae mengi yali tegemewa kutoka kwake lakini akaishia kutuangusha.
One to look out for- Huyu awe mwanasiasa ambae unategemea ata nga'ra sana kipindi kijacho. Iwe tayari ni kiongozi au ana tarajia kugombea uongozi.
Haya kamani wana JF kazi kwenu.
Most Valuable Player(MVP)- Mtu ambae amekua outstanding awamu hii na amefanya mengi mazuri.
Least Valuable Player(LVP)- Kiongozi aliye fanya ovyo kuliko wote.
Rookie- Mwanasiasa chipukizi au wa mara ya kwanza(awe mzee au kijana) ambae ame nga'ra na kuonyesha matumaini makubwa kwa Watanzania.
Most Improved- Mwanasiasa ambae amekuwepo kwa muda na kaonyesha kukua na kukomaa zaidi kisiasa.
Least Improved. Ambae ame dorora na kufanya vibaya zaidi
Biggest dissapointment- Huyu awe mtu ambae mengi yali tegemewa kutoka kwake lakini akaishia kutuangusha.
One to look out for- Huyu awe mwanasiasa ambae unategemea ata nga'ra sana kipindi kijacho. Iwe tayari ni kiongozi au ana tarajia kugombea uongozi.
Haya kamani wana JF kazi kwenu.