Tuzo ya Mo Ibrahim yakosa mshindi tena

Tuzo ya Mo Ibrahim yakosa mshindi tena

...nimefurahi Dr. Salim bado ana chair board hii ya maamuzi...maana ni mtu makini ambaye taifa hili kwa bahati mbaya sana tulipoteza miaka 10 kwa kukosa uongozi wake kama rais....ebu tutafakari...ingekuwaje kama huyu mtu(Dr. Salim) angepewa kijiti kile mwaka 2005...nina uhakika leo hii yeye ndie angepewa hii tuzo baada ya kumaliza muda wake...watawala waliyemnyima fursa Dr.salim kipindi kile lazima leo wanajuta....leo hii hata katiba mpya tungekuwa hayo..na nchi ingekua na dira...
 
Hii tuzo kuchuliwa na rais kutoka Tanzania ni ngumu sana wanaangushwa na jinsi wanavyoitawala Zanzibar.
 
Akitangaza matokeo hayo Mwenyekiti Salum Ahmed Salum ameseme kwa mwaka 2015 hakujawa na mshindi wa tuzo hizo.Hii ni kutokana na marais wastaafu kutokizi vigezo vilivyowekwa.Akizingumzia hayo Mo Ibrahim mwenyewe amesikitishwa na hali hiyo lakini kwa kuwa vigezo vimewatoa hakuna namna.Katika kipindi cha mwaka jana wana CCM walikuwa na mategemeo hewa ya mwenyekiti wao Kikwete kupata tuzo hiyo.Mpaka naleta habari hii ndani ya keka la JF sijampata Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kupata maoni yake
 
Waongeze wajumbe kwenye hiyo tume ili Jecha akasaidie kuwapa tuzo ccm
 
Tulishashauri huko nyuma kuwa hiyo tuzo ifutwe tu kama hakuna anayemit vigezo... Kama tuzo imekosa mshindi kwa miaka kadhaa ina maana hata tuzo yenyewe imeshakosa credibility.

By the way, ni rahisi sana kuongoza nchi iliyoendelea ambayo kila kitu kiko kwenye well defined system kama Ungereza, Marekani, Ujerumani n.k kuliko kuongoza nchi masikini kama Tanzania.

Kuongoza nchi masikini ni kazi kubwa sana kama kuendesha Fiat wakati kuongoza nchi zilizoendelea ni raisi sana kama kuendesha Vitzi mpya iliyotoka kiwandani.
Sikubaliani na wewe kwa asilimia 100. Kiongozi mzuri ataonekana tu hata katika mazingira ya umaskini unaoeleza. Ukweli ni kwamba Bara la Afrika lina ukame mkubwa sana wa VIONGOZI. Waliojaa ni WATAWALA.
 
Tulishashauri huko nyuma kuwa hiyo tuzo ifutwe tu kama hakuna anayemit vigezo... Kama tuzo imekosa mshindi kwa miaka kadhaa ina maana hata tuzo yenyewe imeshakosa credibility.

By the way, ni rahisi sana kuongoza nchi iliyoendelea ambayo kila kitu kiko kwenye well defined system kama Ungereza, Marekani, Ujerumani n.k kuliko kuongoza nchi masikini kama Tanzania.

Kuongoza nchi masikini ni kazi kubwa sana kama kuendesha Fiat wakati kuongoza nchi zilizoendelea ni raisi sana kama kuendesha Vitzi mpya iliyotoka kiwandani.
Kaka Ukweli ni kwamba hawakidhi vigezo waliostaafu wala usilete habari za kusema kuwa ati nchi zilizoendelea ni rahisi kuongoza. Unategemea viongozi kama kina mu 7, Kagame, au hata hawa wakwetu TZ wakizi vigezo hivyo kwa tunayoyashuhudia? ni dhahiri ni vigumu na ningeshangaa sn kama mfano JK angepewa hiyo
 
Hii tuzo kuchuliwa na rais kutoka Tanzania ni ngumu sana wanaangushwa na jinsi wanavyoitawala Zanzibar.
At least for this comment of yours, for the first time nakuunga mkono.
 
Kwa viongozi hawa wa Afrika si dhanani kama kuna Rais anaweza kuipata hiyo tunzo.
 
Kupata kiongozi bora Africa ni ngumu kama ilivyo vigumu kupata bikra kwenye matenity ward. Itachukua miaka mingi kweli kupata huyo wanaemtafuta. Hata huyu wetu ameshajifelisha kama mtangulizi wake
Mkuu, una maana hata manesi wanao hudumu kule maternity ward hakuna bikira hata 1? Acha utani bwana.
 
Tulishashauri huko nyuma kuwa hiyo tuzo ifutwe tu kama hakuna anayemit vigezo... Kama tuzo imekosa mshindi kwa miaka kadhaa ina maana hata tuzo yenyewe imeshakosa credibility.

By the way, ni rahisi sana kuongoza nchi iliyoendelea ambayo kila kitu kiko kwenye well defined system kama Ungereza, Marekani, Ujerumani n.k kuliko kuongoza nchi masikini kama Tanzania.

Kuongoza nchi masikini ni kazi kubwa sana kama kuendesha Fiat wakati kuongoza nchi zilizoendelea ni raisi sana kama kuendesha Vitzi mpya iliyotoka kiwandani.


Lakini unasahau kuwa kuna washindi wameshawahi kupatikana kutoka ktk nchi hizi hizi maskini za kiafrika;

Chissano (Mozambique), Pohamba Hifikipunye (Namibia), Festus Mogae (Botswana) and Pedro Pires (Cape Verde)

Ni kwa nini Rais wetu JPM kwa mfano pamoja na wengine wasiende kujifunza ktk nchi kama hizi kutoka kwa viongozi kama hawa walivyoweza kufanikiwa hata kufikia sifa za tuzo?

JPM yeye alichagua kwenda kujifunza kwa Paul Kagame wa Rwanda na Yoweri Mseveni wa Uganda. Kweli yuko serious huyu??

Tatizo siyo tuzo kukosa credibility kama baadhi walivyosema hapo juu, bali viongozi washindanishwa ndiyo wanaokosa credibility ya kustahili kupata tuzo hiyo!!

Nionavyo mimi ni kwamba hawa viongozi wa kiafrika wanafanya makusudi sawa sawa na mwanafunzi anayetakiwa kufanya mtihani ambao tayari alishapewa maswali/mtihani huo in advance na bado akafeli!!
 
Back
Top Bottom