Tuzo ya Mo Ibrahim yakosa mshindi tena

Tuzo ya Mo Ibrahim yakosa mshindi tena

Kupata kiongozi bora Africa ni ngumu kama ilivyo vigumu kupata bikra kwenye matenity ward. Itachukua miaka mingi kweli kupata huyo wanaemtafuta. Hata huyu wetu ameshajifelisha kama mtangulizi wake

Mbona washapatikana kadhaa toka ianze?
 
Tulishashauri huko nyuma kuwa hiyo tuzo ifutwe tu kama hakuna anayemit vigezo... Kama tuzo imekosa mshindi kwa miaka kadhaa ina maana hata tuzo yenyewe imeshakosa credibility.

By the way, ni rahisi sana kuongoza nchi iliyoendelea ambayo kila kitu kiko kwenye well defined system kama Ungereza, Marekani, Ujerumani n.k kuliko kuongoza nchi masikini kama Tanzania.

Kuongoza nchi masikini ni kazi kubwa sana kama kuendesha Fiat wakati kuongoza nchi zilizoendelea ni raisi sana kama kuendesha Vitzi mpya iliyotoka kiwandani.
Mshindi mwaka jana alikuwa Rais wa Namibia, Hifikepunye Pohamba!!
 
Kupata kiongozi bora Africa ni ngumu kama ilivyo vigumu kupata bikra kwenye matenity ward. Itachukua miaka mingi kweli kupata huyo wanaemtafuta. Hata huyu wetu ameshajifelisha kama mtangulizi wake
Hivi aliyewahi kupata ni nani zaidi ya hawa
1. The first year’s winner was Joaquim Chissano, the former president of Mozambique,

2.
The following year, in 2008, Botswana’s former president Festus Mogae won the £3.2 million prize.

3. Pedro Pires, the president of Cape Verde
 
Jecha angekua chairman of committee mshindi angepatikana tu.

Aiseee umenivunja mbavu yaani hapa bar nilipokaa nimechaka kwa nguvu. mpaka watu wamenishangaa nacheka nini. Kumbe jecha salum jecha angekuwa mwenyekigoda asingekosa mtu wa kumpa.
 
Tulishashauri huko nyuma kuwa hiyo tuzo ifutwe tu kama hakuna anayemit vigezo... Kama tuzo imekosa mshindi kwa miaka kadhaa ina maana hata tuzo yenyewe imeshakosa credibilit

Nyie magamba ya nyoka mliokuwa mnampigia debe mkweree apate hilo donge mmeula wa chuya mkweree hana credibility kwasababu ya kulinda mafisadi na kunyonga demokrasia kule Zenj!! Zinamtosha hizo alizoficha kwa Subash Patel!!!
 
Month Ibrahimu ageuze sasa iwe vilaza na madikteta ataona atavyopata wengi Africa ! Hapo kibao wana qualify!
 
Wangempa hata jecha make kafanya kazi ya kutukuka aise
 
Ningepata mshangao kama mmoja wa hao angechukua hiyo tuzo maana rekodi zao zinajulikana.Hii MIF sio FIFA.
 
Hawana hela hao Mo Ibrahim ndiyo maana wanajibalaguza.
Tunakubaliana na wewe hawana hela, haya unazo wewe unampa nani? Mbona watu wenye majina kama yako wanasifikaga kwa busara na akili au umeiba jina!?
 
Back
Top Bottom