Tuzo ya MO Ibrahim 2013

Tuzo ya MO Ibrahim 2013

soyuz

Senior Member
Joined
Oct 4, 2013
Posts
155
Reaction score
60
Tuzo ya utawala bora Afrika kwa mwaka 2013 imekosa mshindi. Tuzo hii hupewa kiongozi aliyefanya vizuri katika nyanja ya afya,elimu,usalama na maendeleo ya kiuchumi. Hii ninakua mara ya nne kutopatikana mshindi pia mwaka 2009,2010,2012 alikosekana mshindi.

Tuzo hiyo ina thamani ya $5 (malipo ya awali) na $200,000 kwa kila mwaka kwa maisha yote ya mshindi na inadhaminiwa na Bw Mo Ibrahim (Tycoon) na mzaliwa wa Sudan

Source: DW - Kiswahili

==============

habari ya mwaka huu ndiyo hiyo

prize-medal.jpg

No winner of the 2013 Ibrahim Prize for Achievement in African Leadership

by MIF | 14 October, 2013

The Mo Ibrahim Foundation's independent Prize Committee has decided not to award this year's 2013 Ibrahim Prize for Achievement in African Leadership.

The Ibrahim Prize for Achievement in African Leadership is the largest prize in the world, worth an annual US$5 million over 10 years and US$200,000 annually for life thereafter.

To win the Prize, Laureates must fulfill the following criteria: be a democratically elected former African Head of State or Government who has left office in the previous three years; have served her/his constitutionally mandated term; and have demonstrated excellence in office, helping to lift people out of poverty and paving the way for sustainable and equitable prosperity.
The Prize was established in 2007 by Mo Ibrahim, Founder and Chair of the Mo Ibrahim Foundation, to celebrate excellence in African leadership and to provide Laureates with the opportunity to pursue their commitment to the African continent once they have stepped down from office.

It is judged by an independent Prize Committee composed of seven eminent figures, including two Nobel Laureates.

Previous winners of the Ibrahim Prize include: President Joaquim Chissano of Mozambique (2007), President Festus Mogae of Botswana (2008), President Pedro Pires of Cape Verde (2011) and President Nelson Mandela of South Africa (Honorary).

Salim Ahmed Salim, Former Secretary-General of the Organisation of African Unity, Former Prime Minister of Tanzania and Chair of the Prize Committee, said:
"This Prize honours Former Heads of State or Government, who, during their mandate, have demonstrated excellence in leading their country, and by doing so, serve as role models for the next generation."

"After careful consideration, the Prize Committee has determined not to award the 2013 Prize for Excellence in Leadership."
Ibrahim Prize | Prize Committee | |

No winner of the 2013 Ibrahim Prize for Achievement in African Leadership by MIF
 
Tuzo ya utawala bora Afrika kwa mwaka 2013 imekosa mshindi. Tuzo hii hupewa kiongozi aliyefanya vizuri katika nyanja ya afya,elimu,usalama na maendeleo ya kiuchumi. Hii ninakua mara ya nne kutopatikana mshindi pia mwaka 2009,2010,2012 alikosekana mshindi.

Tuzo hiyo ina thamani ya $5 (malipo ya awali) na $200,000 kwa kila mwaka kwa maisha yote ya mshindi na inadhaminiwa na Bw Mo Ibrahim (Tycoon) na mzaliwa wa Sudan

Source: DW - Kiswahili

Isije kama changa la macho hapa. Yawezekana jamaa hana hizo hela, anazuga kwa kusema hakuna mshindi.
 
Hatmaye ndg jk tuzo ya mo ibra imemkosa wakiwemo na marais wengne wa africa pia~source bbc swahili
 
Tuzo ya utawala bora Afrika kwa mwaka 2013 imekosa mshindi. Tuzo hii hupewa kiongozi aliyefanya vizuri katika nyanja ya afya,elimu,usalama na maendeleo ya kiuchumi. Hii ninakua mara ya nne kutopatikana mshindi pia mwaka 2009,2010,2012 alikosekana mshindi.

Tuzo hiyo ina thamani ya $5 (malipo ya awali) na $200,000 kwa kila mwaka kwa maisha yote ya mshindi na inadhaminiwa na Bw Mo Ibrahim (Tycoon) na mzaliwa wa Sudan

Source: DW - Kiswahili

habari ya mwaka huu ndiyo hiyo

prize-medal.jpg

No winner of the 2013 Ibrahim Prize for Achievement in African Leadership

by MIF | 14 October, 2013

The Mo Ibrahim Foundation’s independent Prize Committee has decided not to award this year’s 2013 Ibrahim Prize for Achievement in African Leadership.

The Ibrahim Prize for Achievement in African Leadership is the largest prize in the world, worth an annual US$5 million over 10 years and US$200,000 annually for life thereafter.

To win the Prize, Laureates must fulfill the following criteria: be a democratically elected former African Head of State or Government who has left office in the previous three years; have served her/his constitutionally mandated term; and have demonstrated excellence in office, helping to lift people out of poverty and paving the way for sustainable and equitable prosperity.
The Prize was established in 2007 by Mo Ibrahim, Founder and Chair of the Mo Ibrahim Foundation, to celebrate excellence in African leadership and to provide Laureates with the opportunity to pursue their commitment to the African continent once they have stepped down from office.

It is judged by an independent Prize Committee composed of seven eminent figures, including two Nobel Laureates.

Previous winners of the Ibrahim Prize include: President Joaquim Chissano of Mozambique (2007), President Festus Mogae of Botswana (2008), President Pedro Pires of Cape Verde (2011) and President Nelson Mandela of South Africa (Honorary).

Salim Ahmed Salim, Former Secretary-General of the Organisation of African Unity, Former Prime Minister of Tanzania and Chair of the Prize Committee, said:
“This Prize honours Former Heads of State or Government, who, during their mandate, have demonstrated excellence in leading their country, and by doing so, serve as role models for the next generation.”

“After careful consideration, the Prize Committee has determined not to award the 2013 Prize for Excellence in Leadership.”
Ibrahim Prize | Prize Committee | |



No winner of the 2013 Ibrahim Prize for Achievement in African Leadership by MIF
 
Isije kama changa la macho hapa. Yawezekana jamaa hana hizo hela, anazuga kwa kusema hakuna mshindi.

Ingewezekana km inatolewa na magamba ila kwa wenye akili zao futa hiyo ndoto
 
Pigo kwa JK na Tanzania

Wala asitarajie maana hakuna alichopoteza au kuingiza maana tuzo ya Mo ibrahim inatolewa kwa viongozi ambao tiyari wamestaafu.
sasa ukimpa tuzo hiyo rais aliyeko madarakani baadae akaja kuichafua nchi yake kwa mauaji. huoni hio taasisi itakosa sifa ya kutunuku.
 
JK ameshajikusanyia airmile kibao hana haya na hiyo tuzo. Anasubilia zawadi kutoka kwa mashirika ya ndege kama Rais aliyetumia huduma yao kuliko marais wote kwa kipindi alichokuwa madarakani.
 
Ni kiashiria kibaya na pigo kubwa kwa Uongozi Afrika kwani Maraisi wake wastaafu wameikosa tena tuzo nono ya Mo Ibrahimu kwa mwaka 2013. Imetangzwa rasmi!

Tuzo hiyo ya kiasicha Tsh bilioni 8 kwa kipindi cha miaka 10 imewahi kutolewa kwa Maraisi wafuatao; Pedro Verona Pires (Cape Verde - 2011), Festus Mogae (Botswana- 2008) na Joaquim Chissano (Msumbijii - 2007).


My fingers remained crossed for my Presida. Probablly the New Katiba, M23, Kilimo Kwanza and The Big Results now! will change the picture.


No winner for 2013 Mo Ibrahim prizeThe Mo Ibrahim Foundation has announced there will be no winner for the African leadership prize this year.
 
Ni kiashiria kibaya na pigo kubwa kwa Uongozi Afrika kwani Maraisi wake wastaafu wameikosa tena tuzo nono ya Mo Ibrahimu kwa mwaka 2013. Imetangzwa rasmi!

Tuzo hiyo ya kiasicha Tsh bilioni 8 kwa kipindi cha miaka 10 imewahi kutolewa kwa Maraisi wafuatao; Pedro Verona Pires (Cape Verde - 2011), Festus Mogae (Botswana- 2008) na Joaquim Chissano (Msumbijii - 2007).


My fingers remained crossed for my Presida. Probablly the New Katiba, M23, Kilimo Kwanza and The Big Results now! will change the picture.


No winner for 2013 Mo Ibrahim prizeThe Mo Ibrahim Foundation has announced there will be no winner for the African leadership prize this year.


Viongozi hawa waafrika na walivyojawa na ufisadi na kukandamiza raia wao...me naona wala hawajakosea!
 
Rais Jakaya kikwete awali alitajwa kuwa angepokea Tuzo ya MO-Ibrahim na gazeti moja la Marekani lakini katika hali isiyo ya kawaida mwaka huu tena Tuzo hii tena imekosa mtu,

Sababu zinazotajwa kuwa sababu kubwa za Jakaya kikwete kukosa Tuzo hiyo hizi hapa:

Kwanza kushindwa kuchukua hatua dhidi ya vyombo vya dola kunyanyasa Raia wake.

Kushindwa kudhibiti mianya ya Rushwa kwa vitendo.

Kuminya demokrasia kwa vyama pinzani, hii imeelezewa kuwa polisi ndo wamemsababishia sana.

Kuminya uhuru wa vyombo vya habari na kushindwa kuchukua hatua kama mkuu wa nchi, hapa imeelezwa kuwa kufungia vyombo vya habari bila sababu za msingi na mauaji ya waandishi wa habari, hapa Idara ya habari maelezo na wizara ya habari imelaumiwa sana katika hili pamoja na polisi kwa kumnyima Mkuu Tuzo hii.

vigezo vingine vyote alikuwa ameshinda, Jakaya ajitahidi tu achukue hatua na afanyie kazi haya yote mwakani atapewa tu.

source: Vigezo vya MO-IBRAHIMU KATIKA KUTOA TUZO KWA VIONGOZI WA AFRIKA.
 
Tuzo hii ingejivunjia heshima kama ingemtunukia na ingekua ni matusi na dharau kwa watanzania.Ingekua Tuzo ya Aibu!

Afterall,Ni kwa wastaafu
 
Unless kama watakuwa wanatoa kwa vigezo vya kuangalia sura ya mtu ........... hapo JK atapita bila kupingwa.
 
ningeshangaa mno kwa jk kupewa tuzo hii , mwanzo niliuliza kama watoa tuzo wamehongwa vitalu vya kuvuna gesi ? Maana ingekuwa maajabu ya dunia !
 
Back
Top Bottom