Huu nimeupanda miezi sita nyuma.hapa vimetokeza majani wiki hii kwakua nimeshinda hapa karibu nusu Siku kwa wiki nzima
Najua anaumezea mate akate majani yaliyokua na akikata unadumaa.yani haka ka mama badala kaache mchai mchai utoe majani mengi ata ukiuchuma unaendelea kubaki
Hapo nikitoka tu aaaah ntarudi na picha ya utakavoonekana ukikatwa.huyu mama matako ya nyoka kabisaa
View attachment 1734614
Duh mkuu hio ni noma.hapo si watu watajua mi mchawi na hapa wanakuja vijana karibu nane kila Siku kupiga kazi.kuna jirani alinishauri niumwagie Maji ya mchele ili majani yawe na rangi nyeupe kama yametemewa mate yenye dawa ya mswaki....