Tuweke kumbukumbu ya kila kitu watanganyika, na si watanzania

Tuweke kumbukumbu ya kila kitu watanganyika, na si watanzania

Weka kumbukumbu nzuri isiyo ya uonevu. Kipindi hiki toka Jiwe mpaka hapooooooo, weka kimbukumbu. Hata vizazi vyao walioshiriki kikamilifu kuiuza Tanganyika na wanufaika, will pay the price!
Hatuwezi kupiga hatua kama nchi bila kuainisha mabaya ya Magufuli na Nyerere. Style ya kuendesha nchi ya Magu na Samia ni ileile tofauti ni malengo na Maono. Bado watu wanatekwa, uchaguzi wanashinda asilimia 90, serikali imejaa watu wanaotoka alikotoka rais, maendeleo yanaelekezwa alikotokea rais n.k .
 
Hatuwezi kupiga hatua kama nchi bila kuainisha mabaya ya Magufuli bna Nyerere. Style ya kuendesha nchi ya Magu na Samia ni ileile tofauti ni malengo na Maono. Bado watu wanatekwa, uchaguzi wnashinda asilimia 90, serikali imejaa watu wanaotoka alikotoka rais, maendeleo yanaelekezwa alikotokea raid n.k .
Fact tupu
 
Hatuwezi kupiga hatua kama nchi bila kuainisha mabaya ya Magufuli bna Nyerere. Style ya kuendesha nchi ya Magu na Samia ni ileile tofauti ni malengo na Maono. Bado watu wanatekwa, uchaguzi wnashinda asilimia 90, serikali imejaa watu wanaotoka alikotoka rais, maendeleo yanaelekezwa alikotokea raid n.k .
Halafu cdf, igp wanabariki uhuni huu kwa bile wana.mgao wao! Tuweke kumbukumbu sahihi
 
Weka kumbukumbu nzuri isiyo ya uonevu. Kipindi hiki toka Jiwe mpaka hapooooooo, weka kimbukumbu. Hata vizazi vyao walioshiriki kikamilifu kuiuza Tanganyika na wanufaika, will pay the price!
Hiyo kumbukumbu na price vipi mkuu ???

Mangungu sijui Mangungo wa msowero aliyetuuza watumwa na kugawa ardhi kwa wajerumani amelipa nini au ukoo wake umelipa nini.

It's better you fight for your rights rather than just lamenting and crying and making noises.
 
Weka kumbukumbu nzuri isiyo ya uonevu. Kipindi hiki toka Jiwe mpaka hapooooooo, weka kimbukumbu. Hata vizazi vyao walioshiriki kikamilifu kuiuza Tanganyika na wanufaika, will pay the price!
Huo Utanganyika siku ukija kuwa huru hao Watanganyika watatafuta tatizo jingine ambalo litakwenda kuivunjavunja hiyo Tanganyika.

Hayati JPM alilaumiwa kwa kuendekeza jamaa wa kanda ya ziwa tukawa tunaiita kanda pendwa. Chato ni sehemu ya inayoitwa Tanganyika lakini tuliongea kana kwamba imejitenga na kuwa nchi ndani ya nchi.

Wachochezi tunadhani uchochezi ni shughuli ndogo tu kwamba inamalizika pale mtu anapoweka nukta kwenye sentensi ya kibaguzi hatujiulizi kwamba kile kilichoandikwa kinaposambaza sumu wanaoumia ni sisi wenyewe!.

Shibe inatusumbua watanzania tunadhani tunayo matatizo kumbe yanabuniwa tu vichwani mwetu.
 
JPM alitaka kurudisha uchumi mikononi mwa Watanganyika pamoja na Rasilimali zake

Baada ya hapo, tumejionea na tunaendelea kujionea wenyewe, uchumi wetu unapewa wageni na rasilimali zetu kupewa wageni kisa ni wajomba wa mhusika
Jiendelezeni kielimu pelekeni watoto wenu shule kadri inavyowezekana vinginevyo tutaimba hizi nyimbo za malalamiko mpaka siku za kwenda makaburini.
 
Have you gone to Zanzibar recently ?
Umekwenda katavi siku za karibuni ukaiona bandari ya Kalemi?. Kuna meli nne zinakwenda kubeba abiria kwenye Ziwa lile.

Umekwenda Busisi ukaliona daraja lililomaliziwa namna linavyokuza uchumi wa east africa?.

Umekwenda Pangani ukaliona daraja linalomaliziwa muda huu?, jiulize namna linavyokwenda kuufungua ukanda mzima wa Pwani ya Tanzania.

Hizi roho za kibaguzi na chuki mnazosambaza siku zinapowarudi na kuleta madhara msiende kulalamika huko ICC.

Mtakuwa mnalipia mshahara halisi wa dhambi ambao ni mauti.
 
Ulitaka kusema nini chief

Sijakuelewa, toa ufafanuzi mzuri nielewe
Dunia ya sasa katili sana haina msalie mtume, ubepari umesambaa kila kona mwenye kuitafuta riziki kwa nguvu akiongozwa na ubunifu atapata mafanikio.

Tumbo tupu huleta kila aina ya majanga maishani, mwenye pato la uhakika huwezi kumshawishi aingie barabarani akutane na hatari ya kupigwa risasi na kupoteza maisha.

Usipokuwa na elimu ya kutosha ni rahisi kuwa mtaji wa wenye nguvu walio na malengo makubwa.
 
Dunia ya sasa katili sana haina msalie mtume, ubepari umesambaa kila kona mwenye kuitafuta riziki kwa nguvu akiongozwa na ubunifu atapata mafanikio.

Tumbo tupu huleta kila aina ya majanga maishani, mwenye pato la uhakika huwezi kumshawishi aingie barabarani akutane na hatari ya kupigwa risasi na kupoteza maisha.

Usipokuwa na elimu ya kutosha ni rahisi kuwa mtaji wa wenye nguvu walio na malengo makubwa.
Chief, unakuwa mwanaume dhaifu na muoga muoga tena kuhusu hatima yako?

Sio siku nyingi wanaume kamili watakutafuta
 
Chief, unakuwa mwanaume dhaifu na muoga muoga tena kuhusu hatima yako?

Sio siku nyingi wanaume kamili watakutafuta
Kifo hakina dhaifu au jasiri ukiondoka biashara yako inafikia tamati.

Lumumba aliunguzwa ndani ya pipa la acid kawa maarufu anaishi mioyoni mwa wapigania uhuru lakini limebakia jina tu.

Yapo mengi sana ya kupigania kwa ajili ya kuijenga Tanzania yenye maendeleo yanayoonekana. Uanaharakati wa maana ni ule wenye kuijenga nchi kuliko kuibomoa.
 
Umekwenda katavi siku za karibuni ukaiona bandari ya Kalemi?. Kuna meli nne zinakwenda kubeba abiria kwenye Ziwa lile.

Umekwenda Busisi ukaliona daraja lililomaliziwa namna linavyokuza uchumi wa east africa?.

Umekwenda Pangani ukaliona daraja linalomaliziwa muda huu?, jiulize namna linavyokwenda kuufungua ukanda mzima wa Pwani ya Tanzania.

Hizi roho za kibaguzi na chuki mnazosambaza siku zinapowarudi na kuleta madhara msiende kulalamika huko ICC.

Mtakuwa mnalipia mshahara halisi wa dhambi ambao ni mauti.
sehem zote ulizotaja alianzisha jiwe.
 
Back
Top Bottom