DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,606
- 17,755
Hawz kuwa na ushahidi kwa sababu ye mwenyewe amedanganywa 🤣🤣 Anataka aje adanganye na yeye Watu wazima kama sisi 🤣🤣🤣Ilikuwepo wapi? Weka ushahidi.
Kuna kimsemo huwa nakipenda kuwa Mtu mzima kumwambia mtoto neno la kitoto huwa ni Ishara ya Upendo na kujali..
Ila mtu mzima kumwambia Mtu mzima mwenzake Jambo la kitoto Huwa ni dharau...
Kama anao ushahidi Bila kuweka Mythology nimekaa pale Nasubiria