Bundewe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 400
- 141
Viongozi wetu hawatuambii ukweli kwamba tatizo la Zanzibar sio kero za Muungano, ni ubaguzi wa kidini. Viongozi wanafanya hivyo kwa makusudi wakidhani kwamba wakieleza ukweli wataamsha chuki za kidini. Mimi ni muumini wa ukweli maana maandiko yananiambia "ukweli utaniweka huru".
Ukiondoa Bri. Gen. Adam Mwakanjuki ambaye pia ana asili ya uislamu, hakuna Mkristo aliye shika nafasi ya juu katika SMZ na mpaka sasa SUK (SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA).
Hata ukijiuliza maswali mawili madogo utapata jibu.
Mosi: Kwanini harakati za "kupinga muungano" ziendeshwe na kikundi cha kidini JUMIKI (Jumuiya ya Mihadhara ya Kiislamu?
Pili: Kwanini harakati hizo ziambatane na kuchoma makanisa na magari ya wachungaji? Ni Misikiti mingapi imechomwa?
Ni wazi kwamba muungano umepoteza maana kwa sasa, lakini tatizo sio muungano, ni udini. Kwa Zanzibar, Mtu yeyote anayetoka bara wanamchukulia kama Mkristu na ni adui.
Nilikua Z'bar siku 3 zilizopita, nilipata taarifa kwamba mjumbe mmoja wa baraza la wawakilishi alipokua akichangia hoja na Mhe. Jussa Ladhu kuhusu sehemu ya bahari ya zanzibar kufanywa ya muungano na Mhe. Tibaijuka alitumia maneno "Tusipokuwa makini na mambo haya tunaweza kujikuta WAKRISTU toka bara wanakuja kututawala!"
Inasemekana ndo sababu Rais wa Z'bar Dr. Shein anakuwa mzito kuchukua hatua kwa ghasia za namna hii maana naye ni mdini.
Nawasilisha.
Ukiondoa Bri. Gen. Adam Mwakanjuki ambaye pia ana asili ya uislamu, hakuna Mkristo aliye shika nafasi ya juu katika SMZ na mpaka sasa SUK (SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA).
Hata ukijiuliza maswali mawili madogo utapata jibu.
Mosi: Kwanini harakati za "kupinga muungano" ziendeshwe na kikundi cha kidini JUMIKI (Jumuiya ya Mihadhara ya Kiislamu?
Pili: Kwanini harakati hizo ziambatane na kuchoma makanisa na magari ya wachungaji? Ni Misikiti mingapi imechomwa?
Ni wazi kwamba muungano umepoteza maana kwa sasa, lakini tatizo sio muungano, ni udini. Kwa Zanzibar, Mtu yeyote anayetoka bara wanamchukulia kama Mkristu na ni adui.
Nilikua Z'bar siku 3 zilizopita, nilipata taarifa kwamba mjumbe mmoja wa baraza la wawakilishi alipokua akichangia hoja na Mhe. Jussa Ladhu kuhusu sehemu ya bahari ya zanzibar kufanywa ya muungano na Mhe. Tibaijuka alitumia maneno "Tusipokuwa makini na mambo haya tunaweza kujikuta WAKRISTU toka bara wanakuja kututawala!"
Inasemekana ndo sababu Rais wa Z'bar Dr. Shein anakuwa mzito kuchukua hatua kwa ghasia za namna hii maana naye ni mdini.
Nawasilisha.